SINGIDA UNITED 2-1 MBAO FC SEPT 10, 2017
SINGIDA UNITED 2-1 MBAO FC SEPT 10, 2017

Baada ya kuanza kuanza vibaya ligi kuu licha ya usajili wa kushtua, timu ya Singida United, ilipata ushindi wake wa kwanza wa ligi kuu dhidi ya Mbao FC ya Mwanza. Mchezo huu ulifanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma kwa sababu uwanja wao wa Namfua mjini Singida ulikuwa bado kwenye matengenezo



Mudathir Yahya wa Singida United aeleza siri ya ushindi dhidi ya Mbao
Mudathir Yahya wa Singida United aeleza siri ya ushindi dhidi ya Mbao

Nahodha wa timu ya Singida United inayodhaminiwa na kampuni ya michezo ya kubashiri SportPesa, Mudathir Yahya amedai wameshinda mchezo wao dhidi ya Mbao FC baaba ya kufanya marekebisho ya mchezo wao uliopita ambao walifungwa. Katika mchezo huo uliochezeka katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma, Singida iliondoka na ushindi wa goli mbili kwa moja dhidi ya Mboa Fc.




« Previous


Popular Tags

#Kobe Bryant  #Best Goalkeeper Saves  #Zlatan Ibrahimovi  #Franck Ribery  #James Harden  #Michael Jordan  #Tristan Thompson  #Sergio Aguero  #Paul Pogba  #Paul George  

Popular Users

#RobGronkowski  #BringerOfRain20  #neymarjr  #HEELZiggler  #blakegriffin23  #JJWatt  #cnnbrk  #Cristiano  #BaileyLAKings  #RyanBabel  #JayBilas  #PMOIndia  #DjokerNole  #JoelEmbiid