Baada ya kuanza kuanza vibaya ligi kuu licha ya usajili wa kushtua, timu ya Singida United, ilipata ushindi wake wa kwanza wa ligi kuu dhidi ya Mbao FC ya Mwanza. Mchezo huu ulifanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma kwa sababu uwanja wao wa Namfua mjini Singida ulikuwa bado kwenye matengenezo