🗣 “Naijua vizuri Simba. Naelewa kuna vitu vimebadilika kwa sasa, lakini sio vyote mfano kuna wachezaji tulicheza nao na hadi sasa wapo kikosini, vivyo hivyo mambo kama falsafa naamini bado ni yaleyale.” - Juuko Murshid beki kisiki wa Vipers SC 🇺🇬.
SPOTI HINTS: OKWI, JUUKO OUT! AFRICAN LYON VS SIMBA LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea tena leo kwa michezo mbalimbali kupigwa katika viwanja Tofauti ikiwemo Mechi kati yaAfrican Lyon dhidi ya Simba katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha huku Kocha Mkuu Patrick Aussems akithibitisha kuwakosa wachezaji wake Emmanuel Okwi na Juuko Murshid. Lakini pia gumzo ambalo lilikuwa likiendelea katika mitandao ya kijamii ikimuhusu Beki Mkongwe Kelvin Yondani kutompa mkono Nahodha wake Ibrahim Ajibu leo wanayanga wameamua kuonyesha video ambayo inawaonyesha wako sawa huku wakikimbizana katika kambi yao waliyoweka jijini Mwanza wakijiandaa na mchezo wao dhidi ya Mbao FC. #OKWI #JUUKO https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA 1-0 AL AHLY Dakika 90 zinamalizika Simba 1-0 Al Ahly Uwanja wa Taifa na Simba wanavuna pointi tatu nyumbani. Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 87 Manula anaamka na mpira unaanza kwenda kwa Waarabu. Dakika ya 85 Manula alikwenda hewani wakati anashuka anaangukia mgongo. Dakika ya 84 Simba wanaanza mashambulizi kwenda kwa Mwarabu, Mpira unatolewa nje anarusha Zimbwe, Kagere, wanadaka Waarabu. Dakika ya 83 Mkude anauza kwa waarabu. Dakika ya 82 Waarabu wanapata faulo inachezwa vizuri ila kichwa cha Mwarabu kinapaa Mawinguni. Dakika ya 81 Bocco anatolewa nafasi yake inachukuliwa na Dilunga. Dakika ya 81 Chama anapoteza Mpira kwa waarabu wanaanza safari kwa Manula sasa, Juuko anacheza rafu Dakika ya 80 Manula ananyanyuka, Waarabu wanaanza safari kumfuata sasa. Dakika ya 79 bado Manula anagangwagangwa Uwanjani. Dakika ya 77 Zana anakaba,ila bado waarabu wanamuwinda Manula anaokoa baada ya mabeki kukabia kwa macho na kumuumiza Manula. Dakika ya 76 Kagere alipata pasi kutoka kwa Kotei akapaisha mpira mawinguni. Dakika ya 75 Waarabu wanamchezea rafu Kotei Dakika ya 75 bado waarabu wapo kwa mshikaji Manula Dakika ya 74 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula wao karibu na eneo la hatar sasa Dakika ya 73 waarabu wanaanza safari kwa Manula Dakika ya 72 Kotei anacheza rafu kwa waarabu wanapata faulo haziai matunda. Dakika ya 71 Okwi anarejea Uwanjani kuwavaa waarabu. Dakika ya 69 Okwi anatolewa akiwa kwenye machela. Dakika ya 67, Mkude, Bocco mchezaji wa Simba anapata majeraha dakika ya 68 Okwi baada ya kuanguka na kupoteza fahamu kwa muda wa dakika kadhaa. Dakika ya 66 Chama anatoa Mpira nje Dakika ya 64 Kagere anaandika bao tamu na kumyayua Mohamed 'Mo' akitumia pasi ya Bocco ya kifua baada ya kupokea pasi ya mmwaga maji Zana. Dakika ya 63 Waarabu wanamfuata Manula , Wawa anaanua hatari. Dakika ya 62 Bocco anatoa Boko akiwa eneo la hatari baada ya kupewa pasi na Okwi Dakika ya 61 Simba wanarusha kwa kumtumia Mohamed Dakika ya 60 Zana aliingiza majaro ya hatari eneo la hatari ila mira ukababatizwa ukatoka nje goal kick. Dakika ya 59 Juuko anapoteza kwa waarabu, Wawa anafanya yake, Chama, Kagere anapoteza. Dakika ya 58 Mkude anamsumbua Mwarabu na kumchezea faulo. Dakika 90 zinamaliizika Simba 1-0 Al Ahly Dakika ya 90+4 Simba wanapata kona Dakika ya 90 + 3 Kagere anadondoka, mpira unaendelea Dakika ya 90 Kotei anatolewa nje akiwa ameumia anaingia Mzamiru Yassin Dakika ya 90 Waarabu wanapaisha mpira mawinguni wakiwa eneo la hatari. Dakika nne zinaongezwa Taifa, Simba wameacha kukaba Dakika ya 90 mwarabu anakosa bao la wazi Dakika ya 89 Kotei anapiga mpira nje kwa waarabu Dakika ya 88 Waarabu wanaanza safari kwa Manula baada ya Dilunga kucheza faulo. Dakika ya 57 Waarabu wanaanza safari kwa Manula Juuko anaanua Dakika ya 57 Wawa anauza kwa waarabu. Dakika ya 56 Juuko Murshid anagangwa gangwa guu lake la kushoto. Dakika ya 55 Okwi anamchezea faulo Mwarabu karibu na eneo la hatari, Waarabu wanatumia nafasi ila mpira unapaa mawinguni. Dakika ya 54 Zana anauza kwa Waarabu Dakika ya 53 waarabu wanaanza safari kwenda kwa Manula, wanarejea nyumbani kisha wanaendela kupitia kwa Mohamed, Ramadhan, Khalid, Junior Wawa anazuia. Dakika ya 52 Kager anashindwa kutumia nafasi ya mpira wa Zana. Dakika ya 51 Waarabu wanapata faulo na mlinda mlango wao anapata hudua ya kwanza. Kikosi cha Simba kitakachocheza mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly: Aishi Manunula, Zaha Coulibaly, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Pascal Wawa, James Kotei, Clstous Chama, Jonas Mkude, John Mkude, John Bocco, Meddie Kagere, Emmanuel Okwi. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Kikosi cha Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Juuko Murshid/Paul Bukaba dk 87, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Shiza Kichuya, Clatous Chama, Meddie Kagere/Hassan Dilunga dk 66, John Bocco na Emmanuel Okwi/Adam Salamba dk83. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars OKWI, CHAMA, KWASI NA SALAMBA WOTE WAFUNGA SIMBA SC YAIKANDAMIZA ALLIANCE FC 5-1 TAIFA MABINGWA watetezi, #SimbaSC wamepata ushindi wa kishindo baada ya kuichapa 5-1 #AllianceFC katika mchezo wa #LigiKuu ya Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Ushindi huo unaifanya Simba SC ifikishe pointi 20 baada ya kucheza mechi tisa na kupanda hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikiziwa pointi nne na vinara, Azam FC ambao hata hivyo wamecheza mechi moja zaidi. Watani wao wa jadi, Yanga SC wanafuatia kwa pointi zao 19 na kesho watacheza mechi yao ya nane kwa kumenyana na KMC Saa 1:00 usiku Uwanja wa Taifa. Mshambuliaji Mganda, Emmanuel Okwi alifunga bao la kwanza dakika ya 10 kwa kichwa akimalizia pasi ya kocha baada ya krosi ya beki Mghana, Nicholas Gyan baada ya kona fupi kutoka upande wa kulia. Kikosi cha Simba SC leo kilikuwa; Aishi Manula, Nicholas Gyan/Shomari Kapombe dk46, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Pascal Wawa, Said Ndemla, Mohammed ‘Mo’ Ibrahim/Hassan Dilunga dk61, Clatous Chama, Adam Salamba/Meddie Kagere dk75, John Bocco na Emmanuel Okwi. Alliance FC; Kelvin Richard, Israle Patrick, Hance Masoud, Wema Sadock, Geoffrey Luseke, Juma Nyangi, Dickson Ambundo, Balama Mapinduzi/Martin Kiggi dk89, Michael Chinedu/Juhudi Philemon dk61, Jamal Mtegeta/Zabona Khamis dk80 na Siraj Juma. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
FULL SHANGWE Mashabiki wa Lipuli Baada ya Bao la Kwanza Kikosi cha Simba kimeshindwa kupata alama tatu na badala yake kimepoteza pointi mbili katika Uwanja wa Samora mjini Iringa dhidi ya Lipuli, mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mchezo huo ulioanza kwa kasi zaidi kwa wenyeji wakionesha kuumiliki mpira zaidi ya Simba, walikuwa wa kwanza kujiandikia bao mnamo dakika ya 31 ya kipindi cha kwanza kupitia Adam Salamba. Bao lilidumu kipindi cha kwanza ambapo mpaka Mwamuzi anapuliza kipyenga kwenda mapumziko, Lipuli walikuwa mbele kwa bao moja. Kipindi cha pili Simba walijitahidi kuamka na kuanza kujibu mapigo baada ya Kocha, Pierre Lechantre kufanya mabadiliko ya kumtoa beki Juuko Murushid, na nafasi yake ikichukuliwa na Mshambuliaji, Mburundi, Laudit Mavugo. Simba ilifanikiwa kupata bao la kusawazisha dakika ya 66 ya kipindi cha pili baada ya mpira wa kona kumfikia Mavugo ambaye aliumalizia kwa mguu na kufanya matokeo mpaka dakika 90 zinamalizika yaende sare ya 1-1. Matokeo hayo yameipa Simba alama moja na kuifanya ifikishe pointi 59 kwenye msimamo wa ligi. Install #GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis...
Please watch: "MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO" https://www.youtube.com/watch?v=lU7L3hP4BP0 --~-- MSHAMBULIAJI Mganda Emmanuel Arnord Okwi ametokea benchi na kufunga mabao mawili Simba SC ikishinda 4-0 dhidi ya Singida United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Matokeo hayo yanaifanya Simba SC ifikishe pointi 29, baada ya kucheza mechi 13, ikiwazidi pointi saba mabingwa watetezi, Yanga SC na pointi mbili Azam FC wenye 27 katika nafasi ya pili, wakati Mtibwa Sugar sasa ni ya tatu kwa pointi zae 24 baada ya timu zote kucheza mechi 13. Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Jacob Adongo wa Mara, aliyesaidiwa na Mohammed Mkono wa Tanga na Gasper Ketto wa Arusha hadi mapumziko Simba SC walikuwa wanaongoza kwa mabao 2-0. Kiungo Shiza Ramadhani Kichuya alianza kuifungia Simba SC dakika ya tatu akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na kiungo mkongwe Mwinyi Kazimoto, kufuatia John Raphael Bocco kuangushwa nje kidogo ya boksi. Singida wakacharuka na kuanza kupeleka mashambulizi mfululizo langoni mwa Simba kusaka bao la kusawazisha, lakini ngome ya Wekundu wa Msimbazi ikiongozwa na Erasto Edward Nyoni ilikuwa imara kuondosha hatari zote. Beki Mghana, Asante Kwasi akaifungia Simba SC bao la pili dakika ya 25 akimvisha kanzu kipa Peter Manyika aliyetoka langoni bila hesabu nzuri baada ya pasi ndefu ya kiungo Said Ndemla aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Kazimoto. Bao hilo lilionekana kuwachanganya Singida United wanaofundishwa na kocha Mholanzi, Hans van der Pluijm na kuwaruhusu Simba kutawala zaidi mchezo huo. Kipindi cha pili, mashabiki wa Simba SC wakaripuka kwa shangwe baada ya kumuona kocha wao mpya, Mfaransa Pierre Lechantre aliyeongozana na msaidizi wakea, kocha wa viungo, Mmorocco Mohammed Aymen Hbibi jukwaa kuu. Kocha huyo amekuja kusaini mkataba wa kuifundisha Simba kuchukua nafasi ya Mcameroon, Joseph Marius Omog aliyeondolewa Desemba na atafanya kazi na Mrundi, Masudi Juma ambaye amekuwa akiiongoza tangu kipindi chote hiki. Okwi akatokea benchi dakika ya 65 kuchukua nafasi ya kiungo Muzamil Yassin na akafunga mabao mawili ndani ya dakika saba. Alifunga bao la tatu dakika ya 75 akimalizia pasi ya Shiza Kichuya na la nne dakika ya 82 akimalizia pasi ya Ndemla. Alifunga mabao hayo, baada ya kumsetia pasi nzuri Kichuya, akapiga nje akiwa ndani ya sita. Kikosi cha Simba SC leo kilikuwa; Aishi Manula, Nicholas Gyan, Asante Kwasi, Juuko Murshid, Erasto Nyoni, Jonas Mkude, James Kotei/Mohammed Ibrahim dk88, Mwinyi Kazimoto/Said Ndemla dk22, John Bocco, Shiza Kichuyana Muzamil Yassin/Emmanuel Okwi dk65. Singida United; Peter Manyika, Michael Rusheshangoga, Shafiq Batambuze, Kennedy Wilson, Malik Antiri, Mudathir Yahya, Deus Kaseke, Tafadzwa Kutinyu/Yussuf Kagoma79, Lubinda Mundia/Kenny Ally76, Kambale Salita Gentil na Kiggi Makassy/Salum Chukwu dk62.