fadheel29   

fadheel29's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“ENZO BRAND C. E. O/JOURNALIST/ FOOTBALL PUNDIT/ RADIO & TV PRESENTER/ MOROGORO SCHOOL OF JOURNALISM-MSJ/ ONE MAN CAN CHANGE THE WRLD/ ALLAH 1ST/Insta:fadheel_29”

 Report User

Highlights

Katibu Mkuu wa TFF, Kidao Wilfred akimkabidhi jezi ya Timu ya Taifa ya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma baada ya kuwasili Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬ kuiunga mkono Timu ya Taifa Stars ambayo leo inacheza na Uganda mchezo wa kufuzu AFCON 2023.

Katibu Mkuu wa TFF, Kidao Wilfred akimkabidhi jezi ya Timu ya Taifa ya Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma baada ya kuwasili Misri πŸ‡ͺπŸ‡¬ kuiunga mkono Timu ya Taifa Stars ambayo leo inacheza na Uganda mchezo wa kufuzu AFCON 2023.



Baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Lesotho πŸ‡±πŸ‡Έ hapo jana, kikosi cha timu ya Taifa ya ZambiaπŸ‡ΏπŸ‡² kimetua jijini Johannesburg usiku huu kwaajili ya mchezo wa Marudiano wa kuwania tiketi ya kushiriki AFCON 2023. Zambia πŸ‡ΏπŸ‡² itakuwa ugenini dhidi ya Lesotho πŸ‡±πŸ‡Έ Jumapili hii Machi 26.



RATIBA YA SOKA LEO JUMANNE TAR 14, MARCH 2023: EUROPE: Champions League - Play Offs 23:00 FC Porto vs Inter Milan Agg:0-1 23:00 Manchester City vs RB Leipzig Agg:1-1



πŸ—£ β€œNaijua vizuri Simba. Naelewa kuna vitu vimebadilika kwa sasa, lakini sio vyote mfano kuna wachezaji tulicheza nao na hadi sasa wapo kikosini, vivyo hivyo mambo kama falsafa naamini bado ni yaleyale.” - Juuko Murshid beki kisiki wa Vipers SC πŸ‡ΊπŸ‡¬.



VIPERS SC πŸ‡ΊπŸ‡¬ wakiwa nyumbani katika mechi 5️⃣ za mwisho katika mashindano ya CAF:

🀝 0-0 vs CS Sfaxien
❌ 0-1 vs Al Hilal
βœ… 1-0 vs Real Bangui
🀝 0-0 vs TP Mazembe
🀝 0-0 vs Horoya

Leo: Vipers SC vs Simba SC ⁉️

VIPERS SC πŸ‡ΊπŸ‡¬ wakiwa nyumbani katika mechi 5️⃣ za mwisho katika mashindano ya CAF: 🀝 0-0 vs CS Sfaxien ❌ 0-1 vs Al Hilal βœ… 1-0 vs Real Bangui 🀝 0-0 vs TP Mazembe 🀝 0-0 vs Horoya Leo: Vipers SC vs Simba SC ⁉️



Simba SC wamefanikiwa kushinda kwenye michezo yao mitano (5) iliyopita.

Ambapo wamekusanya alama 15 kwenye mechi 5 za mwisho.

Leo anakutana na Azam FC, Je ataendeleza kutoa dozi!!?

#NBCPremierLeague πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

Simba SC wamefanikiwa kushinda kwenye michezo yao mitano (5) iliyopita. Ambapo wamekusanya alama 15 kwenye mechi 5 za mwisho. Leo anakutana na Azam FC, Je ataendeleza kutoa dozi!!? #NBCPremierLeague πŸ‡ΉπŸ‡Ώ



🚨 Simba SC amepoteza mchezo mmoja mpaka sasa na amepoteza dhidi ya Azam FC ambao waliwafunga bao 1-0

Wanakutana tena kwa Mkapa ambapo Simba wapo nafasi ya 2 na alama 53,Michezo 22.

Huku Azam wakiwa nafasi ya 4 na alama zao 43,michezo 22.

Kesho: Simba SC vs Azam FC

NBCPL πŸ‡ΉπŸ‡Ώ

🚨 Simba SC amepoteza mchezo mmoja mpaka sasa na amepoteza dhidi ya Azam FC ambao waliwafunga bao 1-0 Wanakutana tena kwa Mkapa ambapo Simba wapo nafasi ya 2 na alama 53,Michezo 22. Huku Azam wakiwa nafasi ya 4 na alama zao 43,michezo 22. Kesho: Simba SC vs Azam FC NBCPL πŸ‡ΉπŸ‡Ώ



UEFA CHAMPIONS LEAGUE LEO:-

Club Brugge watakua wenyeji wa SL Benfica mishale ya saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na Borrusia Dortmund watakua mwenyeji wa Chelsea pale Signal Iduna Park mishale ya saa 5:00 usiku.

UEFA CHAMPIONS LEAGUE LEO:- Club Brugge watakua wenyeji wa SL Benfica mishale ya saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na Borrusia Dortmund watakua mwenyeji wa Chelsea pale Signal Iduna Park mishale ya saa 5:00 usiku.




Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports