Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars FT: Kagera Sugar 2-1 Simba Uwanja: Kaitaba Gooooal Emmanuel Okwi dk ya 63 Kipindi cha pili kimeanza, Zimeongezwa dakika 5 Goooooal: Kassim Khamis Goooooal: Ramadhan Kapera Zinaongezwa dakika nne Hasan Dilunga njano dk ya 67 Okwi dk ya 64 njano Said Kipao wa Kagra Sugar anaonyeshwa kadi ya njano dk ya 69, Kassim njano dk ya 73. KASSIM Khamis anawanyanyua mashabiki wa Kagera Sugar dakika ya 20 kwa kuitanguliza timu yake kuongoza mbele ya Simba akimalizia pasi ya Ramadhan Kapera. Dakika ya 40 Kagera Sugar wanapachika bao la pili kupitia kwa Ramadhan Kapera. Kagera Sugar iliyo chini ya kocha Mecky Maxime imeanza kwa kasi kushambulia lango la Aish Manula na kupata kile ambacho ilikuwa inahitai kwa sasa. Emmanuel Okwi anaandika bao la kwanza kwa Simba dakika ya 63 akimalizia pasi ya Chama. Mashabiki waliojitokeza ni wengi kuona namna ushindani ulivyo huku mashambulizi kwa timu zote yakiwa ni makali. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars