CHOTA : LAS PALMAS VS LLACUABAMBA - COPA PERÚ - OCTAVOS DE FINAL - PARTIDO DE IDA
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA SC imeanza mapema utawala katika Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Septemba 26, 2019. Kikosi cha Kagera Sugar kilikuwa; Said Kipao, Mwaita Gereza, David Luhende, Hassan Isihaka, Erick Kyaruzi/Juma Nyoso dk46, Zawadi Mauya, Awesu Awesu, Ally Ramadhani, Evarigestus Mjwahuki, Abdallah Seseme na Yussuf Mhilu/Peter Mwalyanzi dk50. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Serge Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Deo Kanda/Miraj Athuman dk62, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Wilker Da Silva dk87, Sharaf Eldin Shiboub na Ibrahim Ajibu/Hassan Dilunga dk71. Mechi nyingine ya Ligi Kuu, Lipuli FC wamelazimishwa sare ya 2-2 na Mbeya City Uwanja wa Samora mjini Iringa. Mabao ya Lipuli FC yamefungwa Issa Rashid dakika ya 15 na Paul Nonga dakika ya 77, wakati ya Mbeya City yamefungwa na George Chota dakika ya 47 na Ibrahim Mwakamole dakika ya 86. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Singida United imetoshana nguvu na JKT Tanzania kwa kufungana mabao 2-2 kwenye Uwanja wa Namfua mjini Singida katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) Wenyeji hao ndiyo waliokuwa wakitangulia kufunga na wageni kufanya kazi ya kuchomoa, magoli yote ya Singida United yakifungwa na Habibu Haji Kyombo dakika ya 30 na 50 huku magoli ya JKT yakifungwa na Dickson Chota dakika ya 45+4 na Samwel Kamuntu dakika ya 78. Matokeo hayo yameifanya JKT Tanzania kufikisha pointi 41 na kukaa nafasi ya 16 huku Singida United wakiwa na pointi 45 katika nafasi ya nane.
Singida United imetoshana nguvu na JKT Tanzania kwa kufungana mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Namfua mjini Singida. Wenyeji hao ndiyo waliokuwa wakitangulia kufunga na wageni kufanya kazi ya kuchomoa, magoli yote ya Singida United yakifungwa na Habibu Haji Kyombo dakika ya 30 na 50 huku magoli ya JKT yakifungwa na Dickson Chota dakika ya 45+4 na Samwel Kamuntu dakika ya 78. Matokeo hayo yameifanya JKT Tanzania kufikisha pointi 41 na kukaa nafasi ya 16 huku Singida United wakiwa na pointi 45 katika nafasi ya nane.
GIMNASIA 1 Defensa y Justicia 0 IDA 8 AVOS #CHOTA DE LA #superGARCHA DE #afaNA EN EL BOSQUE (29/04/2019) / RELATO Alberto Raimundi EN #MIGFUTBOL LA UNICA TRANSMISION GIMNASISTA QUE EXISTE POR Radio Revolución 98.9 RADIO ONLINE https://revolucion989.com.ar REDES SOCIALES TWITTER https://twitter.com/Revolucion989 https://twitter.com/M_IG https://twitter.com/AlbertoRaimundi https://twitter.com/RodrigoAzn FACEBOOK @estacion.radiorevolucion @movimientoidentidadgimnasista @AlbertoRaimundi75 INSTAGRAM @revolucion98.9 @movimientoidentidadgimnasista @albertoraimundi
Newells 1 GIMNASIA 3 (VUELTA 16 AVOS DE LA #CHOTA DE LA #superGARCHA) EN Rosario. Relato ALBERTO RAIMUNDI por #MIG Futbol en @Revolucion989 Y http://www.revolucion989.com.ar @M_IG #CGE #ARRIBAGIMNASIACARAJO RADIO ONLINE https://revolucion989.com.ar REDES SOCIALES TWITTER https://twitter.com/Revolucion989 https://twitter.com/M_IG https://twitter.com/AlbertoRaimundi https://twitter.com/RodrigoAzn FACEBOOK @estacion.radiorevolucion @movimientoidentidadgimnasista @AlbertoRaimundi75 INSTAGRAM @revolucion98.9 @movimientoidentidadgimnasista @albertoraimundi
Nyota mzambia anayecheza klabu ya simba Cloutos Chota Chama Amedhihirisha jana kuwa yeye ni fundi wa mpira baada ya kufunga bao la aina yake katika mchezo wa klabu bingwa Africa kati ya Simba na Nkana Fc Ya Zambia. Nimekuwekea Magoli Yote kwenye Video
ESTUDIANTIL CNI A LA FINALÍSIMA Culminó el partido en Iquitos. C.D Estudiantil CNI (Loreto) ganó 1-0 a Club Deportivo Las Palmas Chota (Cajamarca) y aseguró su presencia en la #Finalísima de la Copa Perú LC Perú. En el marcador global ambos equipos igualaron 3-3, pero los de Iquitos anotaron 2 goles en condición de visita, y por eso jugarán la última fase del fútbol macho, torneo que se juega con balones Penalty PERU.