Nyota mzambia anayecheza klabu ya simba Cloutos Chota Chama Amedhihirisha jana kuwa yeye ni fundi wa mpira baada ya kufunga bao la aina yake katika mchezo wa klabu bingwa Africa kati ya Simba na Nkana Fc Ya Zambia. Nimekuwekea Magoli Yote kwenye Video