#MuunganoCup2025: Mikwaju ya peanati iliyowatupa nje Singida Black Stars baada ya kumaliza dakika 90 kwa sare ya 2-2 FT’: JKU SC 2-2 Singida BS (penati: 6-5) #TanzaniaUnionSuperLeague #TUSL #MuunganoCup2025 #MuunganoCup #KombeLaMuungano #JKUSC #SingidaBlackStars
Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo NBC Premier League kati ya Fountain Gate dhidi ya Yanga Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 4-0 Magoli yamefungwa na Clatous Chama, Aziz Ki na Mzize ambaye amefunga magoli mawili.
Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49.
Yanga imeichakaza Stand United kutoka Championship mabao 8-1, manne yakitoka kwa Stephane Aziz Ki.... ukiwa ni mchezo wa robo fainali Kombe la Shirikisho la CRDB Bank uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Magoli mengine yametoka kwa Clatous Chama aliyefunga mawili, Nickson Kibabae goli la pili na Kennedy Musonda goli la nane..... Goli la kufutia machozi kwa Stand United limefungwa na Msenda Senda dakika ya 49. Haya hapa magoli yote tisa...
Yanga SC imelipa kisasi kwa kuitandika Azam FC mabao 2-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi Dar es Salaam.... Yanga imepata mabao yake yote mawili kipindi cha kwanza kupitia kwa Pacome Zouzoua dakika 11 na Prince Dube dakika ya 34, huku Azam FC wakipata bao lao dakika ya 81. Tazama magoli....
Super Sub, Elvis Rupia amefunga goli pekee na la ushindi wa bao 1-0 kwa Singida Black Stars dhidi ya Azam FC, mchezo wa Ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Uwanja wa Liti, Singida. Goli kwa Azam FC ni Zuberi Foba ambaye hata hivyo kabla ya goli hili la dakika ya 75, alikuwa amefanya saves kadhaa na kuzuia hatari nyingi za Singida Black Stars....
Magoli kutoka kwa Israel Patrick Mwenda, Clement Mzize na Prince Dube yameipa Yanga ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Tabora United, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Hiki ni kisasi kwa Yanga dhidi ya Tabora United, ikikumbkwa mchezo wa kwanza waliokutana msimu huu, Yanga ilipoteza nyumbani kw akichapo cha mabao 3-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Ni mechi ya kirafiki iliyoshindwa kumalizika baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali kunyesha mjini Singida na mechi kuahirishwa ikiwa imechezwa kwa dakika 57 pekee. Hadi muda huo, ubao ulikuwa ukisomeka 1-1, wakianza Yanga dakika ya kupitia kwa Jonathan Ikangalombo na kisha Singida kusawazisha dakika ya 56 kupitia kwa Marouf Tchakei. Ni Singida Black Stars dhidi ay Yanga, mchezo maalum wa kuzindua Uwanja mpya wa Airtel unaomilikiwa na klabu ya Singida Black Stars. Haya hapa magoli…