Goli pekee la Idd Selemani 'Nado' limeipa Tanzania #TaifaStars pointi tatu kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Uganda, katika mchezo wa ufunguzi wa michuano maalum ya CECAFA 3 Nations Tounarment #CECAFA3NT inayopigwa kwenye Uwanja wa Black Rhino, Karatu mkoani Arusha...