JKT Tanzania imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar lakini wameshuka daraja baada ya kumaliza ligi wakiwa nafasi nne za chini wakifikisha alama 39 sawa na Mtibwa lakini wamezidiwa idadi ya magoli. Magoli ya leo yamefungwa na Nurdin Seleman kwa penati, Shaban Mgandila na upande wa Mtibwa goli limefungwa na George Makang'a Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi, Polisi Tanzania imepata ushindi wa bao 1-0 dnidi ya Mwadui FC ukiwa ni mmoja kati ya mechi tisa zilizochezwa leo kuhitimisha msimu wa ligi kuu Tanzania Bara 2020/21. Goli pekee la Polisi kwenye mchezo huu limefungwa na Jimy Shoji Mwaisondola. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Azam FC imehitimisha msimu wa ligi kwa ushindi ikipata pointi tatu kwenye uwanja mgumu wa mabatinj, Pwani dhidi ya wenyeji wao Ruvu Shooting.Goli pekee la Azam limefungwa na Mudathir Yahya. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
PRISONS vs GWAMBINA: Hivi ndivyo Gwambina FC walivyoiaga Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa mwisho wa msimu uliochezwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga. Prisons walitangulia kwa bao la Kassim Mdoe na Gwambina kujibu kwa penati ya Japhet Mayunga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Hivi ndivyo Gwambina FC walivyoiaga Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa mwisho wa msimu uliochezwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga. Prisons walitangulia kwa bao la Kassim Mdoe na Gwambina kujibu kwa penati ya Japhet Mayunga. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi, Polisi Tanzania imepata ushindi wa bao 1-0 dnidi ya Mwadui FC ukiwa ni mmoja kati ya mechi tisa zilizochezwa leo kuhitimisha msimu wa ligi kuu Tanzania bara 2020/21. Goli pekee la Polisi kwenye mchezo huu limefungwa na Jimy Shoji Mwaisondola. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Ihefu SC ya mkoani Mbeya imechezea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa KMC, matokeo yaliyoishusha rasmi daraja Ihefu. Mchezo huu wa kufungia msimu umepigwa kwenye dimba la Uhuru Dar es Salaam na goli limefungwa na Charles Ilanfya. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Azam FC imehitimisha msimu wa ligi kwa ushindi ikipata pointi tatu kwenye uwanja mgumu wa mabatinj, Pwani dhidi ya wenyeji wao Ruvu Shooting.Goli pekee la Azam limefungwa na Mudathir Yahya. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz