Azam FC imehitimisha msimu wa ligi kwa ushindi ikipata pointi tatu kwenye uwanja mgumu wa mabatinj, Pwani dhidi ya wenyeji wao Ruvu Shooting.Goli pekee la Azam limefungwa na Mudathir Yahya. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz