Magoli manne, penati mbili Team Kiba ikiigaragaza Team Samatta mechi ya hisani
Magoli manne, penati mbili Team Kiba ikiigaragaza Team Samatta mechi ya hisani

Timu ya Msanii Alikiba leo imepata ushindi dhidi ya timu ya Nahodha wa taifa Stars, Mbwana Samatta katika mchezo wa hisani uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, huku Timu ya Samatta ikikosa penati mbili kupitia kwa Bernard Morrison. Magoli yamefungwa na Ibrahim Ajibu, Mudathir Yahya na Hassan Dilunga huku la kufutia machozi likiwa ni la kujifunga kupitia kwa Mudathir Yahya. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Ona Magoli Yote Simba (2-1) VS Polisi TZ, Ajibu Arudisha Ufalme Wake
Ona Magoli Yote Simba (2-1) VS Polisi TZ, Ajibu Arudisha Ufalme Wake

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1 #simbasc #polisitanzania #tff #ajib



Mashabiki Simba Wamkataa Kocha 'Tunaumia Kubebwa'
Mashabiki Simba Wamkataa Kocha 'Tunaumia Kubebwa'

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC wametoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara usiku wa leo Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Sixtus Sabilo alianza kuifungia Polisi Tanzania kipindi cha kwanza kabla ya Simba SC kuzinduka kipindi cha pili kwa mabao ya Nahodha wake, mshambuliaji John Raphael Bocco na kiungo Ibrahim Ajibu. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Mabao ya Bocco na Ajibu yaibeba Simba 2-1 mbele ya Polisi Tanzania
Mabao ya Bocco na Ajibu yaibeba Simba 2-1 mbele ya Polisi Tanzania

Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba SC, leo wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Polisi wametangulia kufunga kupitia kwa Sixtus Sabilo kabla ya Simba kusawazisha kupitia kwa John Bocco na kisha dakika ya wisho Ibrahim Ajibu kufunga bao la ushindi. Bao la Bocco limezua utata wa off side, lakini Gift Macha analichambua na kkumaliza utata huo. Tazama Vodacom Premier League LIV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: http://play.google.com/store/apps/details?id=com.azamtv.max.media Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz




« Previous Next »


Popular Tags

#Stephen Curry  #David Silva  #Cristiano Ronaldo  #Kobe Bryant  #Best Champions League  #Boston Celtics  #Manuel Neuer  #Ronaldinho  #Paul George  #Paul Pogba  

Popular Users

#jimmyfallon  #serenawilliams  #britneyspears  #iamsrk  #instagram  #imVkohli  #taylorswift13  #BaileyLAKings  #BillGates  #Cristiano  #wizkhalifa  #ArianFoster  #RobbieSavage8  #blakegriffin23  #UKCoachCalipari