TIGANA LUKINJA: UBORA WA SIMBA UPO KATIKA KIUNGO/MPIRA UNAPOISHA MCHEZAJI ANAJITATHIMINI by @Simba SC Fans Tv - Post Details

TIGANA LUKINJA: UBORA WA SIMBA UPO KATIKA KIUNGO/MPIRA UNAPOISHA MCHEZAJI ANAJITATHIMINI

Mchambuzi wa habari za michezo na kocha wa mpira wa miguu Tigana Lukinja akitoa maoni yakiufundi ameleza kwamba ubora wa Simba Sc upo katika eneo la kiungo jambo ambalo limeifanya Simba Sc kupata matokeo kwaurahisi na ufanisi mbele ya Mtibwa Sugar na timu zingize ambazo Simba imeshinda. Pia ameeleza kwamba kurejea kwa viwango vya wachezaji waliozoeleka kufunga mara kwa mara lakini kwa siku za hivi karibuni makali yao hayakuonekana lakini katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar yameonekana, ameeleza sababu kubwa yakurejea kwao ni utashi wa waalimu wa Simba Sc Selemani Matola na Juma Mgunda kuweza kuwa karibu sana na wachezaji kwakuondoa mipaka ambayo inasababisha ufanisi wa wachezaji katika uwanja wa mazoezi na mafunzo.

Similar Posts!

MCHUNGAJI SIMBA ACHAFUA HALI YA HEWA/ VIONGOZI MKIPELEKA TIMU MMETUDHALILISHA/ YANGA NANI NCHI HII??
MCHUNGAJI SIMBA ACHAFUA HALI YA HEWA/ VIONGOZI MKIPELEKA TIMU MMETUDHALILISHA/ YANGA NANI NCHI HII??

Karibu Simba SC Fans Tv, Simba ni klabu iliyofanikiwa zaidi katika nchi za Afrika Mashariki,Hapa utapata wasaa wa kutazama Marudio ya mechi, na mahojiano. Usisahau kujiunga nasi . Karibuni sana.



SIMBA HEAVYWEIGHT AWAPIGA DONDO WACHAMBUZI WALAFUTARI/ AVALISHWA BEJI YA ULINZI SIMBA KWA KAZI NZURI
SIMBA HEAVYWEIGHT AWAPIGA DONDO WACHAMBUZI WALAFUTARI/ AVALISHWA BEJI YA ULINZI SIMBA KWA KAZI NZURI

Karibu Simba SC Fans Tv, Simba ni klabu iliyofanikiwa zaidi katika nchi za Afrika Mashariki,Hapa utapata wasaa wa kutazama Marudio ya mechi, na mahojiano. Usisahau kujiunga nasi . Karibuni sana.



DOGO YUSUPH  ACHAFUKWAAAA!!!! TUACHENI TUWASIFIE SIMBA/ OGOPA SANA HASIRA ZA FADLU/ TATOO NI MAPENZI
DOGO YUSUPH ACHAFUKWAAAA!!!! TUACHENI TUWASIFIE SIMBA/ OGOPA SANA HASIRA ZA FADLU/ TATOO NI MAPENZI

Karibu Simba SC Fans Tv, Simba ni klabu iliyofanikiwa zaidi katika nchi za Afrika Mashariki,Hapa utapata wasaa wa kutazama Marudio ya mechi, na mahojiano. Usisahau kujiunga nasi . Karibuni sana.



K MZIWANDA: KWA HALI HII, KUANZISHWE KOMBE LA PENALTY TU / SHUGHULI ILIKUA PEVU ALIVUA VUATU AKIMBIE
K MZIWANDA: KWA HALI HII, KUANZISHWE KOMBE LA PENALTY TU / SHUGHULI ILIKUA PEVU ALIVUA VUATU AKIMBIE

KWA HALI HII, KUANZISHWE KOMBE LA PENALTY TU / SHUGHULI ILIKUA PEVU ALIVUA VUATU AKIMBIE



AMBANGILE: JEZI ZIMEHESHIMISHWA, NI TUKIO LA KIHISTORIA ULIMWENGUNI
AMBANGILE: JEZI ZIMEHESHIMISHWA, NI TUKIO LA KIHISTORIA ULIMWENGUNI

Tumefanikiwa kufanya mahojiano na mchambuzi bora kutoka Wasafi fm & tv na kuzungumzia namna tukio la uzinduzi wa jezi litakavyo andika rekodi mpya katika sektaya michezo na utalii.



MANUNGU HAPATOSHII: SIMBA INATULETEA NEEMA, SIMBA INAPENDWA KULIKO MTIBWA SUGAR
MANUNGU HAPATOSHII: SIMBA INATULETEA NEEMA, SIMBA INAPENDWA KULIKO MTIBWA SUGAR

Wafanya biashara ndogo ndogo pembezoni mwa uwanja wa Manungu wametanabaishwa kwamba ujio wa Simba Sc kucheza katika uwanja huo nifulsa kwao kwasababu mauzo ya biashara zao nimakubwa tofautina ujio wa timu zingine



KABOMBE: SIMBA KWA RAJA ILITEREZA/ KWA VIPERS SINA SHAKA KABISA NIKAMA KWAO TUU..
KABOMBE: SIMBA KWA RAJA ILITEREZA/ KWA VIPERS SINA SHAKA KABISA NIKAMA KWAO TUU..

Hayo ndiyo maoni yake alie kua mtangazaji Azam Tv wa mchezo wa AFC uliochezwa katika uwanja wa Shamba la bibi jijini Dar Es Salaam. Kabombe amesema haoni sababu ya Simba kupoteza mchezo wa kimataifa dhidi ya Vipers SC kwasababu kama Simba Ilishinda ugenini kwanini ishindwe kwa Mkapa ?



HILI NDILO SHANGWE LA MASHABIKI KWA SEMAJI LA CAF/SIMBA NDIO WENYE SAJIRI BORA KATIKA DIRISHA DOGO.
HILI NDILO SHANGWE LA MASHABIKI KWA SEMAJI LA CAF/SIMBA NDIO WENYE SAJIRI BORA KATIKA DIRISHA DOGO.

Hayandiyo maneno yamsemaji wa Simba Sc baada ya mchezo wa ugenini wa Simba Sc ikialikwa na wenyeji wa jiji la Dodoma, Dodoma jiji. Pia msemaji wa Simba Sc ameonekana kuwafurahisha mashabiki wengii wa Simba Sc jambo ambalo liliwafanya washindwe kuficha hisia zake kwake nakumshangilia akiongea na waandishi wa habari baada ya mchezo huo kutanmatika.