KidaniStars's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStar Mazoezi Ya Simba Kabla Ya Kuwavaa Mbeya City Taifa Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars #kikosichasimba #Mbeyacity #Kagere
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Kikosi Cha Simba Kilivyoingia Taifa kuwatafuna Mbeya City Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
AZAM FC imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Kombe la Kagame baada ya jana Ijumaa kuifunga Simba mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar.
Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Azam FC ililazimika kusubiri hadi dakika 30 za nyongeza kupata tiketi ya kwenda fainali, baada ya kubanwa kwa sare ya 0-0 ndani ya dakika 90. Mabao ya Azam FC ambayo leo ilimkosa kinara wake wa mabao, Shaaban Iddi Chilunda yamefungwa na Ditram Nchimbi dakika ya 92 na beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa dakika ya 100.
AZAM FC imefanikiwa kwenda Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Azam FC sasa watasubiri mshindi kati ya Simba SC na JKU ya Zanzibar ikutane naye fainali Ijumaa hapa Taifa kujaribu kutetea taji lake ililolitwaa mwaka 2015 Dar eds Salaam pia. Lakini haukuwa ushindi mwepesi, kwani Azam FC ililazimika kusubiri hadi dakika 30 za nyongeza kupata tiketi ya kwenda fainali, baada ya kubanwa kwa sare ya 0-0 ndani ya dakika 90. Mabao ya Azam FC ambayo leo ilimkosa kinara wake wa mabao, Shaaban Iddi Chilunda yamefungwa na Ditram Nchimbi dakika ya 92 na beki Mzimbabwe, Bruce Kangwa dakika ya 100.
Mshambuliaji nyota wa wa Simba , Emmanuel Okwi, akiongea na wanahabari baada ya kufunga bao dhidi ya ndanda FC
Timu ya Simba imeshinda bao 4-0 dhidi ya Gendemarie ya Djibouti katika Kombe la Shirikisho Uwanja wa Taifa, Dar. Wafungaji wa Simba ni Ndemla, Bocco 2 na Emmanuel Okwi
Mshambuliaji nyota wa Simba , Emmanuel Okwi amefunga bao 1 dhidi ya timu ya Simba kwenye Uwanja wa Taifa.