Simulizi Na Sauti's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Prophet TB Joshua amefariki dunia. Taarifa hiyo imethibitishwa na kanisa lake la The Synagogue, Church Of All Nations kupitia ukurasa wake mwenyewe wa Instagram
Mchezo wa ligi kuu Tanzania bara, Simba dhidi ya Yanga umeahirishwa. Awali mchezo huo ulikuwa uchezwe saa 11:00 Jumamosu hii jioni lakini baadaye ukasogezwa mbele hadi saa 1:00 jioni uamuzi ambao uligomewa na Yanga
Bow Wow na Wasafi FM, kuna nini?
Mbwana Samatta amefunga mabao mawili na kuipa ushindi klabu yake ya Fenerbahce wa 2-1 dhidi ya Fatih Karagumruk kwenye mchezo wake wa pili katika Super Lig ya Uturuki Jumamosi hii.