SimuliziNaSauti's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

CAF Awards 2022: Pape Sakho wa Simba ashinda tuzo ya Goli Bora la Mwaka, Sadio Mane ampigia salute
CAF Awards 2022: Pape Sakho wa Simba ashinda tuzo ya Goli Bora la Mwaka, Sadio Mane ampigia salute

Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF)



Mwakinyo afunguka baada ya kuvuliwa mkanda wa ABU, ajibizana na shabiki
Mwakinyo afunguka baada ya kuvuliwa mkanda wa ABU, ajibizana na shabiki

Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amevuliwa mkanda aliokuwa anaushikilia wa Africa Boxing Union (ABU) wa ubingwa wa uzito wa super-welterweight. Hatua hiyo imekuja baada kupokinywa mkanda wake mwingine wa ubingwa wa Intercontinental wa World Boxing Federation (WBF) miezi kadhaa iliyopita.



RONALDINHO: Starehe na kupenda Wanawake vilivyomfilisi, na kuwa MFUNGWA kwenye gereza la  PARAGUAY
RONALDINHO: Starehe na kupenda Wanawake vilivyomfilisi, na kuwa MFUNGWA kwenye gereza la PARAGUAY

Nini kilienda ndivyo sivyo kwa Ronaldino, mchezaji huyu bora wa soka kutoka kuivaa jezi nambari 10 mgongoni mpaka kuvaa namba 194 gerezani? Fuatilia makala hii



Ni zaidi ya Baba: Takwimu na Ujuzi wa ajabu wa mtoto wa Cristiano Ronaldo (CR7 Jr) zitakushangaza
Ni zaidi ya Baba: Takwimu na Ujuzi wa ajabu wa mtoto wa Cristiano Ronaldo (CR7 Jr) zitakushangaza

Makala hii inamzungumzia mtoto wa mchezaji nguli wa mpira wa miguu Cristiano Ronaldo ambaye ni mmoja wa wachezaji wadogo chipukizi wakubwa duniani akishikilia nafasi ya pili baada ya Arat Hossein



Burna Boy na mama yake walivyoshangilia magoli ya Ronaldo na Man United  uwanjani Old Trafford
Burna Boy na mama yake walivyoshangilia magoli ya Ronaldo na Man United uwanjani Old Trafford

Jumamosi hii Burna Boy na mama yake walikuwa miongoni mwa mashabiki waliohudhuria mchezo wa ligi kuu ya England kati ya Manchester United na New Caster kwenye uwanja wa Old Trafford. Kwenye mchezo huo ambao United imeibuka na ushindi wa mabao 4-1, Cristiano Ronaldo amepachika wavuni mabao 2.




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports