SimuliziNaSauti's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Mshambuliaji wa Simba, Pape Ousmane Sakho amefanikiwa kushinda Tuzo ya Goli Bora la Mwaka katika Tuzo za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF)
Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo amevuliwa mkanda aliokuwa anaushikilia wa Africa Boxing Union (ABU) wa ubingwa wa uzito wa super-welterweight. Hatua hiyo imekuja baada kupokinywa mkanda wake mwingine wa ubingwa wa Intercontinental wa World Boxing Federation (WBF) miezi kadhaa iliyopita.
Nini kilienda ndivyo sivyo kwa Ronaldino, mchezaji huyu bora wa soka kutoka kuivaa jezi nambari 10 mgongoni mpaka kuvaa namba 194 gerezani? Fuatilia makala hii
Makala hii inamzungumzia mtoto wa mchezaji nguli wa mpira wa miguu Cristiano Ronaldo ambaye ni mmoja wa wachezaji wadogo chipukizi wakubwa duniani akishikilia nafasi ya pili baada ya Arat Hossein
Jumamosi hii Burna Boy na mama yake walikuwa miongoni mwa mashabiki waliohudhuria mchezo wa ligi kuu ya England kati ya Manchester United na New Caster kwenye uwanja wa Old Trafford. Kwenye mchezo huo ambao United imeibuka na ushindi wa mabao 4-1, Cristiano Ronaldo amepachika wavuni mabao 2.