WAZIRI MKUU AIFAGILIA SIMBA BUNGENI KUIFUNGA AS VITA, AMTAJA  ALIKAMWE
WAZIRI MKUU AIFAGILIA SIMBA BUNGENI KUIFUNGA AS VITA, AMTAJA ALIKAMWE

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameipongeza Simba SC kwa kupata ushindi wa kwanza ugenini kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita jana usiku Kinshasa, DR Congo. Simba ilishinda bao 1-0 dhidi ya AS Vita kwa mkwaju wa penalti uliowekwa wavuni na Chris Mugalu dakika ya 60 na kuipa uhakika wa alama tatu timu yake. Majaliwa ameyasema hayo wakati akiahirisha vikao vya Bunge jijini Dodoma na wabunge wakilipuka kwa furaha kushangilia. "Nawapongeza pia mabingwa wa soka Tanzania timu ya Simba SC kwa kufanikiwa kufuzu hatua ya makundi na jana kushinda mchezo wake wa kwanza ugenini dhidi ya AS Vita nchini DR Congo," amesema Majaliwa Waziri Mkuu pia amempongeza Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez kwa ubunifu wake wa kushirikisha Wizara ya Utalii na kuja na wazo la kuweka maneno ya 'Visit Tanzania' kwenye jezi za Simba ambazo zinazotumika katika hatua ya makundi kutokana na kanuni za CAF kutoruhusu kampuni za kubeti kutumika kwenye jezi za klabu. HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



MAZOEZI YA MWISHO SIMBA KABLA YA KUIVAA PLATEAU UNITED |Wabunge wahudhuria Mazoezini.
MAZOEZI YA MWISHO SIMBA KABLA YA KUIVAA PLATEAU UNITED |Wabunge wahudhuria Mazoezini.

MAZOEZI YA MWISHO SIMBA KABLA YA KUIVAA PLATEAU UNITED |Wabunge wahudhuria Mazoezini.



MO Dewji Kuhusu Yanga Kuihujumu Simba, Ataja Wahusika Watakavyogharimu Soka la Tanzania
MO Dewji Kuhusu Yanga Kuihujumu Simba, Ataja Wahusika Watakavyogharimu Soka la Tanzania

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba sc Ndugu Mohamed Dewji Mo, aeelezea mikakati ya Klabu hio kuelekea kuwa klabu bora zaidi Barani Afrika, akihutubia kwenye Serehe maalum iliyoandaliwa na Equity Bank ambao ni washirika wa Simba sc, Mo Dewji amewapa pole Wapinzani wao Yanga kwa mafuriko yaliyopo Jiji la Dar es salaam hususan Jangwani ambapo ni Makao Makuu ya Wananchi Yanga, Fuatilia Hotuba hii kufahamu mengineyo mengi SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



LIVE - SIMBA 5-0 MWADUI, BIASHARA 0-1 YANGA (UCHAMBUZI) - VPL  31/10/2020
LIVE - SIMBA 5-0 MWADUI, BIASHARA 0-1 YANGA (UCHAMBUZI) - VPL 31/10/2020

Leo zimepigwa mechi nneza raundi ya tisa... na matokeo ni haya: FT: Biashara 0-1 Yanga. FT: Simba 5-0 Mwadui. FT: Namungo 1-0 Dodoma Jiji. FT: Prisons 0-1 Polisi. Fuatilia uchambuzi baada ya matokeo haya ukiwa na Ahmed Ally, Ally Mayay na Dominick Salamba. Fuatilia matangazo ya moja kwa moja ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020 kupitia UTV. Ni ndani ya saa 90 za kuangazia zoezi zima la upigaji kura, uhesabuji wa kura na kutangazwa kwa matokeo. Ni UTV pekee utakapopata taarifa za kina na uchambuzi wa siasa za Tanzania hususani uchaguzi wa Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



CECAFA KAGAME CUP 2018: FULL HIGHLIGHTS: AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS (9/7/2018)
CECAFA KAGAME CUP 2018: FULL HIGHLIGHTS: AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS (9/7/2018)

6:59 Homa imenizidia OSS Balantanda Recommended for you 6:24 Masanja alivyowajia juu watu msiba wa mtoto wa Muna Love Mtanzania Digital Recommended for you New 19:26 Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku Global TV Online Recommended for you 10:12 JPM azidi kuonesha makali yake "2020 Njia ni Nyeupe Kabisa" Topten Tv 42K views New 3:16 Mkude Simba na Bwakila Efm Radio Tanzania 405K views 3:15 Goli, Simba 1 - 0 As ports KAGAME CUP ShutikaliTV 42K views New 19:22 03.11.2007. Arsenal vs Man Utd WSH Recommended for you Makonda Alivyokosa Penalti Mechi ya Wabunge Vs Mabalozi Usalama Barabarani Global TV Online 126K views Kauli ya kwanza ya Mwigulu tangu atenguliwe “Nitaacha Ubunge?” Millard Ayo 149K views New Kocha Masoud djumaa Awachana wanaosema Pascal wawa ni mzee ShutikaliTV 6.6K views New Baba mzazi wa Patrick afunguka kuhusu Muna Love, Casto Dickson Mtanzania Digital 263K views New MITIMINGI # 180 UKITAKA KUMFANYA MWANAUME(MUME) AWE WAKO TU, ASIWE WETU. FANYA HAYA UTADUMU NAYE. MITIMINGI ONLINE TV Recommended for you mwajuma- MARIJANI RAJAB jphamber Recommended for you Mimi Ni Malaya/Natongoza Wanaume/ Siwezi kuwa Na Mwanaume Mmoja-FEY Mid One Tv 13K views New Hivi ndivyo ilivyotua Ndege kubwa Boeing 787-8 na kupokelewa na JPM Habari Mpya 101K views New Masoud Djumaa baada ya simba kuwakufunga As ports Asema haya ShutikaliTV 10K views New Kangi Lugola 'analiamsha dude'. Tazama anachokimaanisha? Azam TV 20K views New Namna JPM alivyoipokea ndege mpya Boeing 787-8 Dreamliner Mtanzania Digital 90K views New Manara Afungukia Uvumi wa Simba kumtimua Beki Wawa, Je Kwasi atachukua nafasi Yake Maisha Tv 26K views New Mshambuliaji nyota wa mabingwa watetezi Azam FCShaban Idd Chilunda anaipeleka timu yake nusu fainali baada ya kufunga magoli manne na kufikisha magoli SABA katika michuano ya mwaka huu. Chilunda ndiye anayeongoza katika safu ya wapachika mabao mpaka sasa. FT'- AZAM FC 4-2 RAYON SPORTS




« Previous Next »


Popular Tags

#Stephen Curry  #Football Defensive Skills  #Football Defensive Skills  #Lionel Messi  #Golden State Warriors  #Russell Westbrook  #Football Skills  #Shaquille O'Neal  #Kobe Bryant  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#katzm  #tigerwoods  #wizkhalifa  #CP3  #RyanBabel  #nyt4thdownbot  #BMcCarthy32  #LarryFitzgerald  #imVkohli  #UKCoachCalipari  #dougferguson405  #narendramodi  #BellaTwins