Mchezo wa hatua ya makundi klabu Bingwa Afrika kati ya Simba Sc dhidi ya Al Ahly ya nchini Misri umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindin wa bao moja katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, hivyo kutokana na ushindi huo shabiki mmoja wa Simba alijitokeza nukuiambia Mwananchi Digital anaiomba Serikali kuwapa ulinzi wachezaji wa Simba.
Furaha ya Manara baada ya Simba kuwachapa AS Vita | Simba tunataka ulinzi https://bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : https://bit.ly/2XbYro5
We dig into the MatchWeek 3 of the BetKing Premier League with an in depth statistical review of the Gor Mahia Vs. Ulinzi Stars match that was played at the Nyayo National Stadium - the first league match to be played at the iconic ground for 3 years. Follow me: https://www.twitter.com/ckarani17 https://www.instagram.com/ckarani17 https://www.facebook.com/ckarani17 SaFra Statistics: https://www.twitter.com/SaFraConsultKE https://www.facebook.com?SaFraConsultKE
Gor Mahia beat Ulinzi Stars 1-0 in their 2020/21 season opener. #sp99
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1
#usajilisimba #ame 🔥🔥🔥Beki kisiki, mwamba mkata umeme, Ibrahim Ame, amesaini mkataba wa miaka miwili kuwachezea Machampion wa soka la Tanzania, Simba SC🦁, akitokea Coastal Union ya Tanga.... . Katika safu ya ulinzi ya Wagosi wa Kaya, Ame, alikuwa pacha wa Bakari Nondo Mwamnyeto aliyesajiliwa na Yanga SC... . 🚶♂️🚶♂️Nani kalamba dume kati ya Simba na Yanga?
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1 #mtibwasugar