Msemaji wa klabu ya@simbasport amezungumnza na valor tv kuhusu Usajili wa Simba kwenye dirisha ndogo la usaliji, swala Manzoki, Luis, Saido Ntibanzokiza ni mdogo.
Leo April 6, 2022 Unapigwa mchezo Wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara baina ya Azam FC na Yanga mchezo unaopigwa hapa Azam Complex Chamazi majira ya Saa 20:15 Usiku Mpenja TV tuko hapa Uwanja Wa Azam Complex Chamazi kukuletea kila Nukta ya Jambo linalochomoza hapa #MpenjaTV #mpenjatv #AzamFC #YangaSC #AzamfcvsYangaSC #NBCPremierleague #Ligikuu #live
Mnyama Simba leo April 03, 2022, anatupa karata ya mwisho ya hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya US Gendarmerie ya Niger, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mpenja TV, tuko Dimba la Mkapa kukupata habari zote za kabla na baada ya mechi kwa Weledi wa hali ya juu kabisa. Tafadhali endelea kabaki na sisiβ¦. #SimbaSCvsRUSGendarmerie #Simba #USGendarmerie #KombeLaShirikishoAfrica #BenjaminMkapaStadium #CAF #MpenjaTV
Mnyama Simba leo April 03, 2022, anatupa karata ya mwisho ya hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya US Gendarmerie ya Niger, Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mpenja TV, tuko Dimba la Mkapa kukupata habari zote za kabla na baada ya mechi kwa Weledi wa hali ya juu kabisa. Tafadhali endelea kabaki na sisiβ¦. #SimbaSCvsRUSGendarmerie #Simba #USGendarmerie #KombeLaShirikishoAfrica #BenjaminMkapaStadium #CAF #MpenjaTV