Polisi Tanzania 1-0 Mwadui | Goli la Jimy Shoji | VPL 18/07/2021
Polisi Tanzania 1-0 Mwadui | Goli la Jimy Shoji | VPL 18/07/2021

Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi, Polisi Tanzania imepata ushindi wa bao 1-0 dnidi ya Mwadui FC ukiwa ni mmoja kati ya mechi tisa zilizochezwa leo kuhitimisha msimu wa ligi kuu Tanzania bara 2020/21. Goli pekee la Polisi kwenye mchezo huu limefungwa na Jimy Shoji Mwaisondola. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Magoli yote | Mzigo wa mabao ya Simba ikiisulubu Mwadui (5-0) - VPL 31/10/2020
Magoli yote | Mzigo wa mabao ya Simba ikiisulubu Mwadui (5-0) - VPL 31/10/2020

Ikiwa na hasira ya kupoteza mechi mbili mfululizo, mnyama Simba ameifurusha Mwadui FC kwa jumla mabao 5-0 dimbani Uhuru kwenye mchezo wa VPL raundi tisa. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



LIVE - SIMBA 5-0 MWADUI, BIASHARA 0-1 YANGA (UCHAMBUZI) - VPL  31/10/2020
LIVE - SIMBA 5-0 MWADUI, BIASHARA 0-1 YANGA (UCHAMBUZI) - VPL 31/10/2020

Leo zimepigwa mechi nneza raundi ya tisa... na matokeo ni haya: FT: Biashara 0-1 Yanga. FT: Simba 5-0 Mwadui. FT: Namungo 1-0 Dodoma Jiji. FT: Prisons 0-1 Polisi. Fuatilia uchambuzi baada ya matokeo haya ukiwa na Ahmed Ally, Ally Mayay na Dominick Salamba. Fuatilia matangazo ya moja kwa moja ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020 kupitia UTV. Ni ndani ya saa 90 za kuangazia zoezi zima la upigaji kura, uhesabuji wa kura na kutangazwa kwa matokeo. Ni UTV pekee utakapopata taarifa za kina na uchambuzi wa siasa za Tanzania hususani uchaguzi wa Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



Magoli yote | Azam FC (1-1) ikitoka sare dhidi ya JKT Tanzania - VPL 30/10/2020
Magoli yote | Azam FC (1-1) ikitoka sare dhidi ya JKT Tanzania - VPL 30/10/2020

Tazama magoli yote mawili yaliyopatikana kwenye mchezo wa VPL raundi ya tisa kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya JKT Tanzania ambao umemalizika kwa sare ya 1-1 Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz



ERITREA 0-2 UGANDA | HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CECAFA SENIOR CHALLENGE - 11/12/2019)
ERITREA 0-2 UGANDA | HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (CECAFA SENIOR CHALLENGE - 11/12/2019)

Wenyeji Uganda wamefuzu nusu fainali baada ya kushinda mchezo wake wa tatu mfululizo, ikiichapa Ertitrea mabao 2-0. Magoli ya Uganda yamefungwa na Nicholas Kazozi dakika ya 57 pamoja na Mustafa Kizza kwa mkwaju wa penati dakika ya 79. Matokeo hayo yanaifanya Uganda kuongoza kundi A ikiwa na pointi tisa, ikifuatiwa na Djibouti yenye pointi 4, Eritrea pointi 3, Somalia nafasi ya nne na pointi 1 na mkiani wapo Burundi wakiwa hawana pointi.



KOCHA SIMBA "MAGOLI 4 -0 Nimefanikiwa Malengo Yangu"
KOCHA SIMBA "MAGOLI 4 -0 Nimefanikiwa Malengo Yangu"

KOCHA SIMBA "MAGOLI 4 0 Nimefanikiwa Malengo Yangu" Ushindi huo unaifanya Simba kufikisha jumla ya pointi 21 baada ya kucheza mechi nane imeshinda saba na imepoteza mechi moja huku Mbeya City ikiwa imeshinda mechi moja kati ya tisa iliyocheza mpaka sasa na imetoa sare tano na kupoteza mechi tatu. HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li



Kocha Mbeya City Afunguka Kufungwa 4-0 na SIMBA Ligi Kuu
Kocha Mbeya City Afunguka Kufungwa 4-0 na SIMBA Ligi Kuu

Kocha wa Klabu ya Mbeya City Juma Mwambusi amefunguka sababu ya kufungwa na simba akisema kuwa wao bado wanajenga timu bado ni wachezaji wachanga. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC wamezinduka na kupata ushindi wa 4-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Simba SC inafikisha pointi 21 baada ya ushindi huo kufuatia kucheza mechi nane, ikishinda saba na kufungwa moja, wakati Mbeya City inabaki na pointi zake nane baada ya kucheza mechi tisa. Simba SC inayofundishwa na kocha Mbelgiji, Patrick Aussems ilipata bao lake la kwanza dakika ya nane kupitia kwa mshambuliaji wa kimataifa w Rwanda, Meddie Kagere aliyefunga kwa penalti baada ya Miraji Athumani ‘Madenge’ kuangushwa kwenye boksi. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars



SIMBA SC 1-0 AZAM FC: FULL HIGHLIGHTS (VPL - 23/10/2019)
SIMBA SC 1-0 AZAM FC: FULL HIGHLIGHTS (VPL - 23/10/2019)

Bao pekee la straika Mnyarwanda Medie Kagere limetosha kuipa Simba pointi tatu muhimu mbele ya matajiri wa Chamazi, Azam FC. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam, ukiifanya Simba kusalia kileleni ikiwa na pointi zake 15 baada ya kushinda mechi zake zote 5. Azam FC yenyewe imepoteza mchezo wake wa kwanza baada ya kushinda mechi zote tatu zilizopita na hivyo kubaki kwenye nafasi ya sita na pointi tisa katika michezo minne.




« Previous Next »


Popular Tags

#Zlatan Ibrahimovi  #Goalkeeper Saves  #Best Ball Controls  #Mesut Ozil  #Miami Heat  #Gareth Bale  #Lionel Messi  #Counter Attack Goals Football  #Best Goals  #Best Ball Controls  

Popular Users

#instagram  #TimTebow  #RealSkipBayless  #criscyborg  #KingJames  #_BAnderson30_  #realDonaldTrump  #iamsrk  #CMPunk  #imVkohli  #Cristiano  #SHAQ  #sydneyleroux  #ochocinco  #Kaepernick7