EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!
EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!

Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.



MIQUISSONE AMPONZA CHAMA/ UONGOZI KUFANYA MAAMUZI MAGUMU/ PHIRI AMETANGULIZWA!/UCHUNGUZI UMEKAMILIKA
MIQUISSONE AMPONZA CHAMA/ UONGOZI KUFANYA MAAMUZI MAGUMU/ PHIRI AMETANGULIZWA!/UCHUNGUZI UMEKAMILIKA

Habari zinaeleza kuwa Uongozi wa Simba SC umefanya uchunguzi na kuona kuna kikundi cha mastaa watatu ambapo kama wakikimaliza, basi makocha na timu nzima itafanya kazi kwa sauti na kwa nguvu moja kama ilivyo kauli mbiu yao. Mastaa hao ambao wanaipasua kichwa Simba SC ni Clatous Chama ambaye kwa sasa yupo nje ya kikosi baada ya kusimamishwa akidaiwa kukwaruzana na mmoja wa makocha wa timu hiyo. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #chama #miquissone #simbasc



MAMBO MATANO USIYOYAJUA KUHUSU FABRICE NGOMA #simba
MAMBO MATANO USIYOYAJUA KUHUSU FABRICE NGOMA #simba

Fabrice Ngoma ni kiungo mkabaji Raia wa DRC mwenye umri wa miaka (29) Nyota huyu inasemekana amemalizana na simba na muda wowote atatambulishwa kunako klabu hiyo. Simba pro tumekuletea mambo matano ya kutafahamu kupitia nyota huyu Ndugu wana simba naomba kuchukua fursa hii kuwaomba mchangie pesa kwaajili ya ununuzi wa vifaa kwaajili ya media yetu hii pendwa nawaomba mchangie gharama za kupata Camera na Vifaa vya sauti ili tuweze kuwafikia mashabiki watoe maoni yao Gharama za vifaa ni 3,000,000 Namba ya malipo ni 0626629644 tutafute kwa namba hio pia kwa biashara 🙏🙏🙏



KIPYENGA CHA MWISHO:Osman kazi Alivyotoa UTATA! kiatu cha mfungaji bora SAIDO na MAYELE kulingana..!
KIPYENGA CHA MWISHO:Osman kazi Alivyotoa UTATA! kiatu cha mfungaji bora SAIDO na MAYELE kulingana..!

KIPYENGA CHA MWISHO:Osman kazi Alivyotoa UTATA! kiatu cha mfungaji bora SAIDO na MAYELE kulingana..! 🔴Breaking:Balaa la TUZO za Ligi kuu MAYELE Atangazwa mfungaji bora, SAIDO Anamagoli ya Penalti..!! Alichokisema MANARA baada ya mechi zote za ligi na vita ya SAIDO na MAYELE (17-17)"MAKOLO NI MAZUZU" #Goli la kwanza la Mayele Tanzania Prisons vs Yanga sc (0-1) | Ligi kuu ya Nbc Tanzania |Highlights 🔴Live:Tanzania prisons vs Yanga Sc | Ligi kuu ya Nbc Tanzania Nbcpl | Last Match 🚨NABI Atangaza KIKOSI CHA KUMALIZIA LIGI KUU dhidi ya TANZANIA PRISONS Hawachomoki leo MAYELE NDANI! Rasmi YANGA wadhibitisha kusajili Chuma kingine, baada ya kuvunja mkataba na Al Hilal FABRICE NGOMA! Breaking:YANGA Timu kubwa Jamani! CAF WATOA TAMKO "Tumeiweka SUPER LEAGUE" Habari njema kwa WANANCHI 🔴Breaking:YANGA SC wakamilisha USAJILI WA kiungo FABRICE NGOMA, kutoka AL HILAL hii ni balaa!!! Breaking:CAF Waivua UBINGWA USM ALGER,TOURE atoa Tamko WAIPE YANGA, ni AIBU KWA CAF na FIFA,ISIRUDIW 🔴Breaking:CAF Watoa TAMKO Zito Hujuma nzito Mechi ya Fainali VAR kuzimwa,vurugu, Mechi KURUDIWA TENA 🔴KIPYENGA CHA MWISHO :Osman kazi Alivyotoa Utata Penalt walizonyimwa Yanga na USM Alger 1-0 Fainali 🔴Rais Samia Suluhu ATOA TAMKO zito baada ya YANGA Kushinda 1-0 dhidi ya USM ALGER Fainali ya CAFCC!! 🔴Live:USM Alger vs Yanga Sc | CAF Confederation cup (Second Leg) -Final 🔴Breaking:Rasmi CAF WATOA TAMKO baada ya USM ALGER kuvamia Hotel waliofikia YANGA Mechi KUHAIRISHWA Breaking:SAUTI yasiri yaVUJA Alichokifanya RAIS WA YANGA na MANARA Kumpoteza Feisal YANGA Itakuliza 🔴Breaking:CAF WATOA Adhabu Nzito mchezo wa FAINALI YANGA hatiani kwa TUHUMA NZITO dhidi ya Wapinzani KIPYENGA CHA MWISHO:Osman Kazi Alivyotoa Utata Goli la Offside walilofungwa Yanga dhidi ya USM Alger Goli la kwanza la Aymen Mahious Yanga vs USM Alger (1-0) | CAF Confederation cup Final | HighlightsGoli la kwanza la Musonda Yanga Sc vs USM Alger (1-0) | CAF Confederation cup Final | Highlights Goli la kwanza la Mayele Yanga Sc vs USM Alger (0-0) | CAF Confederation cup Final | Highlights Yanga Sc vs USM Alger (0-0) | CAF Confederation cup Final (Mkapa Stadium) | Highlights 🔴Live:Yanga Sc vs USM Alger | Kombe la Shirikisho Afrika (Mkapa Stadium) | Fainali 🔴Nabi Atangaza kikosi cha kwanza Leo dhidi ya USM Alger Fainali ya kombe la Shirikisho Afrika 🔴Balaa! Wajue wachezaji Watano waliosajiliwa na Yanga,Injia Herse Amtaja Manzoki aipiku Simba kweupe 🔴Yanga wamaliza mchezo wapindua meza kabla ya Dirisha dogo wamsajili Cesar Manzoki akitokea China!! 🔴Msimamo wa Ligi kuu ya Nbc Tanzania baada ya mechi zote za mwezi Oct 31 2022/23, Yanga,Simba,Azam 🔴Breaking:TFF wamfungia CHAMA! Pigo zito kwa simba kisa kizima hiki hapa! Kumkanyaga mchezaji kifua! 🔴Kimeumana! TFF wapokimya Rafu ya Sakho alistaili kadi nyekundu! Ingekuwa Yanga sasa,Manara acharuka 🔴Breaking:TFF Watoa adhabu Kali kwa mwamuzi huyu! Sakho alistaili nyekundu, Chama,Penalt! Redcard2!! Kipyenga Cha Mwisho! Osman kazi Alivyotoa Utata! Red card mbili na Penalti,Sakho alistaili Redcard!! 🔴Msimamo wa Ligi kuu ya Nbc Tanzania baada mchezo wa Jana Tar 30 Oct 2022/23 "Yanga kileleni, Simba2 🔴Alichokisema Manara baada ya Simba kuifunga Mtibwa sugar (5-0)"Mikolo inabebwa sana Kadi zamchongo" Magoli yote Simba vs Mtibwa sugar (4-0)Ligi kuu ya Nbc Tanzania Highlights Goli la Mzamiru 38'min Simba Sc vs Mtibwa sugar Fc (1-0) | Ligi kuu Nbc Tanzania Highlights Simba vs Mtibwa sugar (0-0) | Ligi kuu Nbc Tanzania (Mkapa Stadium) Highlights 🔴Live:Simba Sc vs Mtibwa sugar | Ligi kuu Nbc Tanzania (Mkapa Stadium) 🔴Breaking:UTATA wa tukio hili, Mwamuzi kufungiwa na TFF, Yanga kupokwa Point,NPL Geita vs Yanga(0-1) 🔴KIPYENGA CHA MWISHO:Osman Kazi Alivyotoa Utata! Penalt ya Yanga ni halali Geita Gold vs Yanga (0-1) 🔴Msimamo Wa Ligi kuu ya Nbc Tanzania baada ya mechi zote za leo 29 Oct 2022/23 "Yanga kinara" 🔴Matukio (10) Goli la Penalt & Utata mkubwa! Offside positions Geita Gold Fc vs Yanga Sc (0-1)NPL!! Penalt ya Yanga Morrison Goal 45' Geita Gold vs Yanga (0-1) | Ligi kuu Nbc Tanzania Highlights Video:Penalt ya Yanga! tukio la nje ya (18) mwamuzi kaweka Tuta (Geita Gold vs Yanga 0-1):Highlights Geita Gold Fc vs Yanga Sc (0-0) | Ligi kuu ya Nbc Tanzania Highlights 🔴Live: Geita Gold Fc vs Yanga Sc | Ligi kuu Nbc Tanzania (Kirumba Stadium) 🔴Kocha Nabi atangaza kikosi cha kwanza cha Yanga dhidi ya Geita Gold Ligi kuu, No Mayele,Djuma..!!! 🔴Kocha Nabi atangaza kikosi cha kwanza cha Yanga dhidi ya Geita Gold Ligi kuu, No Mayele,Djuma,Aucho 🔴Pigo zito Yanga! Habari mbaya iliyojiri mda huu Kocha Nabi atangaza kilichowakuta wachezaji hawa!!! Breaking:CAF wathibitisha taarifa ya FIFA kufun #yangasc #simbasc #nbcpl #ClubAfricain #cafcc #alhilal #MtibwasugarFc #MbeyaCity #Nbcpl#YangaSc #NbcPl #CAFCL #Cafcc #Cafcl #Fifa #GSM #Manara #GlobalTv #JwanengGalaxy #AzamTv #Azamsports #MpenjaTv #Dar24Media #Bongo1Media #WasafiTv #SportsArena #WinnerMedia #HashimOnlineTv #KibweOnlineMedia #TOP5MEDIA #AyoTv



KIMENUKA HAJI MANARA AMJIBU FEI TOTO AVUJISHA SAUTI FEITOTO AKIFUNDISHWA KUIONGELEA MABAYA YANGA SC!
KIMENUKA HAJI MANARA AMJIBU FEI TOTO AVUJISHA SAUTI FEITOTO AKIFUNDISHWA KUIONGELEA MABAYA YANGA SC!

KIMENUKA HAJI MANARA AVUJISHA SAUTI FEI TOTO AKIFUNDISHWA NAMNA YA KUIONGELEA YANGA KWA MABAYA LEO!!In @mangekimambi_ voice,,Fei achafua hali ya hewa,, Mungu huwa na sababu zake hadi kuwezesha hii Clip kuvuja, Feisal na Meneja wake wakifundishana jinsi ya kujibu uongo. Eti Ugali na Sukari alikula Yanga wakati wa utawala uliopita na sio sasa,hivi Kuna Mtu nchi hii anakula Ugali na Sukari? Ipo Club inafanya hivyo nchini? Meneja unadiriki kumfundisha huyo Mtoto aseme uongo ili udhalilishe watu? Mara Msola mzuri mara utawala wake ulimlisha Ugali na Sukari? Hivi unapomfundisha kuwa Hersi @caamil_88 alimyanyasa, kwa nini husemi hayo manyanyaso? Mmemuingiza chaka huyu dogo lakini ioo siku fahamu zitamrudia na atakuja kuwachukia maisha yenu yote. Hivi mshajua kwa nini hizo Sauti zenu zimavuja? Ni Mungu huyo kataka kuwadhalilisha, halaf mmeenda Makka kuhiji? Hijja gani mnayo wakati mnafundishana dhulma ya kuwachafua wenzenu Hakuna Taqwa hapo na Mungu kawaumbua Kweupeeee,,Bad luck mmevujisha wenyew bila kujijua,,Na Sisi tunapeleka hii Clip CAS kama kielelezo cha nia ovu ya tamaa ya wanaomzunguka ktk kulazimisha kuvunja mkataba,, Hata ile michongo kumbe ni gia tu ya kujipatia pesa,,Kiko wapi sasa? Mmemuona Mungu alivyo Mtukufu? Asante sana Muumba wetu,,🙏🏻🙏🏻 #hajimanara #feisal #feisalsalum #feitoto #yangasc #yangasc




Next »


Popular Tags

#David Silva  #Tristan Thompson  #Paul George  #Allen Iverson  #LeBron James  #Best Football Defending Skills  #Stephen Curry  #Cleveland Cavaliers  #Best Goals  #Goalkeeper Saves  

Popular Users

#britneyspears  #si_vault  #J_No24  #Buster_ESPN  #Cristiano  #billsimmons  #katzm  #themichaelowen  #KingJames  #CNN  #TimTebow  #JasonDufner  #RSherman_25  #strombone1