#inkmediatz #africanfootballleague #nbcpremierleague #cafcl
Aboneaza-te la canalul nostru: http://bit.ly/2LW7UL1 www.primaplay.ro - Sport și spectacol, nelimitat! Meciurile din SuperLiga ...
Simba SC imebanwa mbavu na Namungo FC wakilazimishwa sare ya bao 1-1 kwenye Dimba la Uhuru, Dar es Salaam, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague Namungo wametangulia kufunga kupitia kwa Reliants Lusajo dakika ya 29 na Simba kuchomoa dakika ya 75 kupitia kwa Jean Baleke.... Haya hapa magoli....
Ni mchezo wa ufunguzi ulioshuhudia Simba ikitoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya mabingwa wa Afrika, Al Ahly kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli ya Simba yamefungwa na Kibu Denis dakika ya 53, na Sadio Kanoute dakika ya 59 huku magoli ya Al Ahly yakifungwa na Reda Slim (45'+1) na Mahamoud Karahba dakika ya 63.