Leo tarehe 22/06/2023 imetolewa tarehe rasmi ya Mchezo wa Wape Tabasamu 2023 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri. Dhumuni kubwa la Mchezo huo ni Uzazi Salama kwa Kizazi Bora. Kocha wa Timu Kibwana ni George Ambangile huko Kocha wa Timu Job akiwa ni Ally Kamwe
Mtibwa Sugar imeitandika Geita Gold FC mabao 3-1 na kubaki salama ndani ay #NBCPremierLeague baada ya kuhitimisha ...
Mtibwa Sugar imeitandika Geita Gold FC mabao 3-1 na kubaki salama ndani ay #NBCPremierLeague baada ya kuhitimisha ...
uchambuzi #uchambuzi wa mechi ya simba leo.
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ▻JOIN OUR ...