🛑LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA
🛑LIVE:SIMBA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WOTE WAPYA WALIOSAJILIWA MSIMU HUU, SIMBA MPYA BALAA

#Simbasc #wachezajiwapyasimbasc #Ahmedally WACHEZAJI WAPYA WALIOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU 2026/2027 Waliosajiliwa 1. Kaletso Makgalwa Winga kutoka Shekukune 2.Serge Badjo kutoka Ivory Coast Mlinzi wa kati Sababu ni Rushine injury aliyopata fainal dhidi ya Azam CRDB imemfanya atachelewa kurejea uwanjani 3. Ibraheem Jabaar kiungo kutoka Stellenbosch alifanya kazi na Steve Berker 4. Nathaniel chilambo kutoka Azam FC ameshatambulishwa ndiye mrithi wa Kapombe Simba 5. Kelvin Nashon kutoka Singida BS ila alikuwa Kwa Mkopo Pamba Jiji 6.Bakari Msimu kutoka Coastal Union 7. Ismail Mgunda Mshambuliaji kutoka Mashujaa 8.Seleman Mwalimu imeshindikana kusajiliwa mazima kutoka wydad kutokana na wydad kutaka mpunga mrefu ila Simba wamekubaliwa kwenye Mkopo wa msimu mzima hivyo Seleman Mwalimu atasalia tena Simba Kwa Mkopo . Wanatazamwa kwenye kagame cup wakikidhi wanasajiliwa mazima 9. Ibrahim Doumbia Mshambuliaji raia Wa Mali, Ibrahim Doumbia amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baadae katika klabu ya Simba Sc ya Tanzania. Doumbia alikuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mali Msimu ulopita akiwa na mabao 17. Simba hawataki kucheza kamali ya kumpa mkataba wa muda mrefu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, wakihofia akifeli na gharama za kuvunja mkataba. Doumbia msimu uliopita:- 🏆 Mfungaji bora wa Msimu 🏆 Mchezaji bora wa Msimu 🏆 Mchezo bora chipukizi wa Msimu. 🏆 Alikuwepo kwenye kikosi Bora cha msimu. DEAL OFF Ramadhan Chobwedo Winga kutoka TRA United amefeli vipimo vya afya Simba Dili lake limekufa rasmi Mpaka sasa Simba Sports Club imeachana na wachezaji wengi kuelekea msimu ujao. Je ni nani hakustahili kupewa Gudubaiii hapa utaniambia kwenye uwanja wa Comment hapo chini. 1. Chamou Karaboue. 2. Naby Camara. 3. Edwin Balua. 4.Joshua Mutale. 5. Awesu Awesu. 6. Omari Omari. 7. Moussa Camara. 8. Mzamiru Yassin 9. Ladack Chasambi 10. Jonathan Sowah 11. Mohamed Bajaber 12. Salehe Karabaka Mkopo Pamba Jiji 13. Valentino Mashaka Mkopo JKT Tanzania



Yanga SC 1-1 Simba SC | Highlights | U17 Clubs Premier League 06/06/2026
Yanga SC 1-1 Simba SC | Highlights | U17 Clubs Premier League 06/06/2026

LIGI YA VIJANA U17 | Ni Kariakoo Derby ya vijana, Yanga U17 na Simba U17, mchezo umemalizika kwa sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa TFF, Kigamboni Dar es Salaam. Yanga wametangulia kwa goli la Issa Ramadhan dakika ya 15, na Simba kuchomoa dakika za majeruhi... Tazama highlights



TRA United 4-1 Azam FC | Magoli | NBC Premier League - 08/05/2026
TRA United 4-1 Azam FC | Magoli | NBC Premier League - 08/05/2026

#NBCPL: Tazama magoli yote matano yaliyofungwa kwenye mchezo wa NBC Premier League kati TRA United dhidi ya Azam FC. FT: TRA United 4-1 Azam FC Magoli ya TRA United yamefungwa na Ally Ng'azi, Ammy Mapaka na Ramadhan Salum 'Chobwedo' Goli la Azam FC limefungwa na Jephte Kitambala Bola. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TRAUnitedvsAzamFC #TRAUnited #AzamFC #TRAUnitedAzamFC



Saat Magrib Tiba, Liga Inggris Kembali Berlakukan Buka Puasa #premierleague #ramadhankareem
Saat Magrib Tiba, Liga Inggris Kembali Berlakukan Buka Puasa #premierleague #ramadhankareem

Liga Inggris kembali menunjukkan sisi inklusif sepak bola dunia. Menjelang bulan suci Ramadan, Premier League bersama English Football League memberi jeda singkat dalam pertandingan agar pemain Muslim bisa berbuka puasa saat magrib. Jeda dilakukan di momen bola mati tanpa menghentikan pertandingan sepenuhnya. Langkah ini menuai pujian karena menghormati keyakinan pemain sekaligus menjaga profesionalisme di level tertinggi sepak bola. Sepak bola bukan hanya soal gol, tapi juga soal toleransi. Semoga liga-liga besar dunia bisa mengikuti langkah positif ini di bulan Ramadan. ⚽🌙 #Ramadhan #Ramadan2026 #LigaInggris #PremierLeague #SepakBola #FootballShorts #IslamDiSepakBola #PuasaRamadan #Toleransi #Inklusivitas #FootballNews #SoccerShorts #ViralRamadhan #BerbukaPuasa #MuslimAthletes



#KariakooDerby |  Ramadhan Ngoda alivyoifungua Dabi ya Kariakoo ya kufungia msimu na kuamua bingwa
#KariakooDerby | Ramadhan Ngoda alivyoifungua Dabi ya Kariakoo ya kufungia msimu na kuamua bingwa

Itazame Dar es Salaam, itazame Benjamin Mkapa, watazame watani wa jadi…!!! #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #KariakooDerby #DabiYaKariakoo #HainaKipengele #YangaSC #SimbaSC #YangaSimba #WataniWaJadi



MEDIA MALAYSIA ANTUSIAS MENYAMBUT RAMADHAN SANANTA 🇮🇩🔥 #persissolo #dpmmfc #liga1 #ligamalaysia
MEDIA MALAYSIA ANTUSIAS MENYAMBUT RAMADHAN SANANTA 🇮🇩🔥 #persissolo #dpmmfc #liga1 #ligamalaysia

Media asal Malaysia, Makan Bola antusias menyambut kehadiran bintang Tim Nasional (Timnas) Indonesia, Ramadhan Sananta ...



Ramadhan Samantha tolak persija demi bermain di liga Malaysia #shorts
Ramadhan Samantha tolak persija demi bermain di liga Malaysia #shorts

berita timnas indonesia terbaru, berita timnas indonesia terbaru hari ini, berita timnas indonesia hari ini, berita timnas indonesia di ...




Next »


Popular Tags

#Best Ball Controls  #Golden State Warriors  #Best Champions League  #Shot Goals  #Best Goalkeeper Saves  #Paul Pogba  #Sergio Aguero  #Anthony Davis  #Kawhi Leonard  #LeBron James  

Popular Users

#BarackObama  #HEELZiggler  #oldhossradbourn  #THNRyanKennedy  #MariaSharapova  #jadande  #espn  #justinbieber  #TimTebow  #UKCoachCalipari  #RobbieSavage8  #normmacdonald  #darrenrovell  #DjokerNole