Kikosi cha Yanga kimetua kwenye Ardhi ya Tanzania kikitokea Algeria kwenye Mchezo wa pili wa Fainali ya Kombe la Shirikisho ...
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ▻JOIN OUR ...
USM Alger walishinda kwenye Dimba la Benjamin Mkapa na Yanga wameenda kushinda Kwenye Dimba la July 5, kila mmoja ameshindwa kwenye Ardhi ya Ugenini lakini Kombe limeenda kwa USM Alger. Hii ni tathmini ya Gharib Mzinga 'KILWA FINEST' Kuhusu Mchezo wa Pili wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mzinga ameeleza kuhusu mipango ya Timu za Algeria kuhakikisha wanakuza vipaji na kufikia Nchi ya ahadi yenye Mafanikio ya Kisoka. Aidha ameeleza kuwa USM Alger hawajabadilika bali Yanga ndio walibadilika.
Leo ndiyo leo, Yanga wanashuka dimbani kumalizana na USM Alger katika mchezo wa pili wa fainali ya Kombe la Shirikisho ...
Kikosi cha Yanga kimeanza safari Leo Tarehe 01/06/2023 kuelekea Nchini Algeria Kwenye Fainali ya Pili ya Kombe la Shirikisho ...
Baada ya mchezo wa muongo WA kwanza WA fainali ya kombe la Shirikisho baadhi ya wadau na mashabiki WA Young Africans ...