MASHABIKI SIMBA "TULIJUA Yatatokea Matokeo Haya /TUNA Imani na Simba" MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union na Simba uliochezwa leo, Julai 23 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga umekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu bila kufungana ndani ya dakika 90. Coastal Union inayonolewa na Juma Mgunda ililiandama lango la Simba kipindi cha pili kwa kumtumia mtupiaji wao namba moja Ayoub Lyanga mwenye mabao nane ndani ya ligi ila mikono ya Beno Kakolanya iliokoa hatari zake. Simba inayonolewa na Sven Vandenbroeck ilikuwa ikifanya mashambulizi kwa kumtumia Meddie Kagere na John Bocco mambo yalikuwa magumu kwao. Bocco alitolewa kipindi cha pili nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama na Miraj Athuman alitolewa ia nafasi yake ikachukuliwa na Deo Kanda ila ngome ya Coastal Union chini ya Bakari Nondo ilibaki kuwa imara. Pascal Wawa alionyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wa leo baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano hivyo Simba ilimaliza dakika tisini ikiwa na wachezaji 10 baada ya beki huyo wa kigeni kutolewa dakika ya 75. Atakuwa akiwashuhudia wenzake kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Polisi Tanzania, Ushirika, Moshi. Ushindi huo unaifanya Simba kufikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 37, Coastal Union inafikisha jumla ya pointi 53 zote zinauhakika wa kubaki ndani ya ligi. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvonline ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Fudbaleri Mančester Sitija deklasirali su novog prvaka Liverpul 4:0 (3:0) u 32. kolu Premijer lige i tako su naneli Crvenima drugi ligaški poraz ove sezone. Prvo De Brujne iz penala, zatim Sterlingov gol bivšoj ekipi, divna timska akcija za pogodak Fodena i autogol Okslejd-Čemberlena za kraj. ➜ Vesti i informacije pratite na Sport Klub sajtu: https://goo.gl/F8xhUR 👉 Pratite Sport Klub na društvenim mrežama: ▶ Facebook: https://goo.gl/rujxyB 📷 Instagram: https://goo.gl/fjzJpp ⌨ Twitter: https://goo.gl/1DTJQW 🎧 Mixcloud: https://goo.gl/tw6tCe 🔔 Sport Klub Sajt: https://goo.gl/F8xhURF8xhUR #sportklub --------------------------------------------------------------------------------------------------------- ⏩ Svako postavljanje video materijala (klipova, stream-ova...) bićemo prinuđeni da prijavimo YouTube administratorima. To može rezultovati i trajnim gašenjem Vašeg kanala od strane YouTube-a ili tužbe od strane United Media Production d.o.o. Beograd.⏪
KIKOSI CHA MAANGAMIZI cha Tanzania Kilichoiua EQUTORIAL GUINEA LEO Novemba 15 timu ya Taifa ya Tanzania itamenyana na timu ya Taifa ya Equatorial Guinea kwenye mchezo wa kuwania kufuzu tiketi ya kuwania kushiriki michuano ya Afcon inayotarajiwa kufanyika 2021. Kwenye jumla ya mechi 4 za ushindani ambazo timu hiyo ya Taifa ya Equatorial Guinea imecheza hakuna hata mechi moja ambayo wameambulia ushindi zaidi ya kupata sare na vichapo wakiwa ugenini tofauti na Stars ambayo imeambulia ushindi ikiwa ugenini mbele ya Sudan kwa kuifunga mabao 2-1. Ilipoteza mbele ya timu ya Taifa ya Congo kwa kufungwa bao 1-0 pia ililazimisha sare ikiwa nchini Sudan Kusini ya kufungana bao 1-1 pamoja na ule dhidi ya Chad kwa sare ya kufungana mabao 3-3, na iliambulia kichapo mbele ya Saudi Arabia kwa kufungwa mabao 3-2. Kwenye jumla ya mechi nne ikiwa ugenini imefungwa jumla ya mabao nane huku wao wakifunga mabao sita pekee. Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Juma Mgunda amesema kuwa wanatambua ugumu wa mchezo watapambana kupata matokeo. “Tunatambua kwamba mchezo utakuwa mgumu tutapambana kupata matokeo, mashabiki wajitokeze kwa wingi kutupa sapoti,” amesema. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) ---------------------------------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li
DK 90 ZA TAIFA STARS VS E GUINEA LEO Novemba 15 timu ya Taifa ya Tanzania itamenyana na timu ya Taifa ya Equatorial Guinea kwenye mchezo wa kuwania kufuzu tiketi ya kuwania kushiriki michuano ya Afcon inayotarajiwa kufanyika 2021. Kwenye jumla ya mechi 4 za ushindani ambazo timu hiyo ya Taifa ya Equatorial Guinea imecheza hakuna hata mechi moja ambayo wameambulia ushindi zaidi ya kupata sare na vichapo wakiwa ugenini tofauti na Stars ambayo imeambulia ushindi ikiwa ugenini mbele ya Sudan kwa kuifunga mabao 2-1. Ilipoteza mbele ya timu ya Taifa ya Congo kwa kufungwa bao 1-0 pia ililazimisha sare ikiwa nchini Sudan Kusini ya kufungana bao 1-1 pamoja na ule dhidi ya Chad kwa sare ya kufungana mabao 3-3, na iliambulia kichapo mbele ya Saudi Arabia kwa kufungwa mabao 3-2. Kwenye jumla ya mechi nne ikiwa ugenini imefungwa jumla ya mabao nane huku wao wakifunga mabao sita pekee. Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Juma Mgunda amesema kuwa wanatambua ugumu wa mchezo watapambana kupata matokeo. “Tunatambua kwamba mchezo utakuwa mgumu tutapambana kupata matokeo, mashabiki wajitokeze kwa wingi kutupa sapoti,” amesema. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) ---------------------------------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li
KOCHA SIMBA "MAGOLI 4 0 Nimefanikiwa Malengo Yangu" Ushindi huo unaifanya Simba kufikisha jumla ya pointi 21 baada ya kucheza mechi nane imeshinda saba na imepoteza mechi moja huku Mbeya City ikiwa imeshinda mechi moja kati ya tisa iliyocheza mpaka sasa na imetoa sare tano na kupoteza mechi tatu. HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li
Kocha wa Klabu ya Mbeya City Juma Mwambusi amefunguka sababu ya kufungwa na simba akisema kuwa wao bado wanajenga timu bado ni wachezaji wachanga. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC wamezinduka na kupata ushindi wa 4-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Simba SC inafikisha pointi 21 baada ya ushindi huo kufuatia kucheza mechi nane, ikishinda saba na kufungwa moja, wakati Mbeya City inabaki na pointi zake nane baada ya kucheza mechi tisa. Simba SC inayofundishwa na kocha Mbelgiji, Patrick Aussems ilipata bao lake la kwanza dakika ya nane kupitia kwa mshambuliaji wa kimataifa w Rwanda, Meddie Kagere aliyefunga kwa penalti baada ya Miraji Athumani ‘Madenge’ kuangushwa kwenye boksi. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
Caf Champions League | Simba SC vs UD Songo 1-1 | Goals & Highlights (25.08.2019). Caf Champions League: UD Songo knock out Simba SC. The Tanzanian giants have been knocked out of the competition after the visiting Mozambican side snatched a vital away goal Simba SC have been knocked out of the Caf Champions League after drawing 1-1 against UD Songo of Mozambique on Sunday. A late penalty by Erasto Nyoni was not enough to keep the Msimbazi Reds in the competition as Songo progressed to the next round on the away goal rule. Luis Misquissone scored UD Songo's goal in the first half. Misquissone found Simba SC's net in the 14th minute and the Tanzanian side could not recover until almost the last minute for Nyoni to score an equalizer which was not enough for them. Head coach Patrick Aussems made a change in the 41st minute as he withdrew Kenyan midfielder Francis Kahata and threw Hassan Dilunga into action. The change did not bring the desired results for the Tanzanian champions. Mirajii Athumani, who replaced Gadiel Michael in the 77th minute, was brought down in the 84th minute for Simba SC to be awarded a penalty which they pulled parity from. Simba SC XI: Aishi Manula, Shomari Kapombe, Gadiel Michael, Erasto Nyoni, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Deo Kanda, Sharaf Shiboub, Meddie Kagere, Clatous Chama and Francis Kahata. Subs: Beno Kakolanya, Mohammed Hussein, Dos Santos, Gerson Vieira, Mzamiru Yassin, Hassan Dilunga and Miraj Athumani. Caf Champions League Wrap: In Kenya, a Nicholas Kipkirui brace, strikes from Dickson Ambundo and Boniface Omondi as well as an own goal helped Gor Mahia to a 5-1 win over Aigle Noir. Benjamin Gasongo netted a consolation for the visitors, but it didn’t change the course of the tie given the first-leg a fortnight ago ended goalless. Kano Pillars were knocked out of the continental club competition following a 2-0 defeat by Asante Kotoko. The Ghanaian outfit went in front in the 12th minute through Kelvin Andoh, and it stayed that way till the 81st minute when Emmanuel Gyamfi scored the hosts’ second of the game. The Porcupines progress to the next round at Pillars’ expense after overturning a 3-2 defeat in Kano. In Mauritius, Fosa Juniors progressed to the next round after a 1-1 draw with Pamplemousses SC saw them qualify 2-1 on aggregate, as it ended 1-0 to the side from Madagascar in the first leg. Jean Fabrini Razah opened the scoring for the hosts in the 12th minute, but Santatra Andriamamonjy pegged them back just after the hour mark to carry the visitors through. Mekelle 70 Enderta and Cano Sport Academy played out to a 1-1 draw in their encounter on Sunday afternoon. Amanuel Gebremichael put the hosts in front in the 13th minute, but Benjamin Naone levelled in the 39th minute. It stayed that way, and the Malabo-based club progress 3-2 on aggregate, after winning the first-leg 2-1. In Tanzania, Simba SC and Uniao Desportiva Do Songo had everything to play for following their 0-0 draw two weeks ago. It ended 1-1 after 90 minutes, after goals from Luis Misquissone for Unaio and a late leveller by Erasto Nyoni for Simba, saw the visitors progress on away goals. Elsewhere, two second-half goals for Elect-Sport FC saw them defeat Cercle Mberi Sportif 2-0 on the day, and also on aggregate because the reverse fixture ended goalless. An Isaac Mensah effort in the 37th minute helped Atletico Petroleos de Luanda to a 1-0 win over Matlama at Estadio 11 de Novembro. Given the Angolan club won 2-0 in Lesotho, they progress to the next round 3-0 on aggregate. In Togo, a late Richard Nane goal for ASC Kara saw the Togolese side win Buffles du Borgou 1-0. It ended 1-1 a fortnight ago, so the 2-1 aggregate score means Kara go through. Horoya progressed to the next round 2-1 on aggregate at Stade Malien’s expense following a 1-0 win in Guinea. Dramane Nikiema netted the only goal of the game in the 24th minute to take the pre-match favourites through. Following a scoreless draw between Vita Club and UMS de Loum in the first-leg, there was a lot riding on their rematch in Congo. It took a Zakaria Mumuni goal on the hour mark to seal a 1-0 win for Vita Club, who progress to the next round. Just like the aforementioned encounter, the first-leg between Nouadhibou and Societe Omnisports de l'Armee ended goalless, leaving both sides with everything to play for in the return match. An Abdoulaye Gueye penalty in the 70th minute was enough for the hosts to claim the win, thereby progressing by a slender aggregate victory. Al Nasr and USM Alger picked up 3-1 victories on home soil against AS Tempete Mocaf and AS Sonidep, respectively. Al Nasr had lost the reverse fixture 1-0, so the eventual 3-2 aggregate success sees the Libyans progress to the last 32 of the competition. USM Alger, on the other hand, had picked up a 2-1 win on the road and just had to see off Sonidep to progress. The Algerian outfit did that to record a 5-2 aggregate victory.