Moshi Kumetakata,,Ushirika Pamekucha,Leo Jumapili ya Tarehe 10/4/2022,Ni Mbungi ya Kukata na Shoka kati ya Maafande Polisi Tanzania dhidi ya Wekundu wa Msimbazi Simba Sc,Mchezo wa ligi kuu ya NBC, Ni Majira ya Saa Kumi za Jioni, Mpenja Tv Tupo Kukuletea kila kitakachojili kwenye Mchezo huo,Kaa Nasi usipitwe na Lolote. #MpenjaTv #PolisiTanzaniavsSimbaSc #Moshi #UwanjawaUshirika #SimbaSc
Share, Support, Subscribe!!! Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ Youtube: https://www.youtube.com/c/HZBTV Twitter: http://www.twitter.com/harakatizabongo Facebook: http://www.facebook.com/harakatizabongo Instagram: http://instagram.com/harakatizabongo Google Plus: https://plus.google.com/+harakatizabongo
Ebwanah eeh🔥🔥🔥 kumbe Simba Sc wana jambo lao Usajili dirisha dogo wanafanya mambo yao kimya kimya. Msikie Shabiki na Mwanachama wa klabu ya Simba Sc Justin Mwakitalima akitema cheche hapa kuhusu usajili dirisha hili dogo kwa upande wa klabu yao vipi mbona kimya? #mwakitalima #usajilisimba #simbasc #tetesizausajili #MpenjaTv