Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.
Jean Jaques Ngita na Jephte Kitambala Bola wameipa Azam FC magoli mawili muhimu ugenini wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha dhidi ya Fountain Gate FC. Haya hapa magoli yote mawili...
#MatokeoYaMechi #HighlightsZaMechi #UchambuziWaMpira #TransferNewsTanzania #BreakingNewsMpira #Yanga #YangaSC #YangaLeo #YangaNews #KikosiChaYanga #UsajiliWaYanga #YangaCAF #Simba #SimbaSC #SimbaLeo #SimbaNews #KikosiChaSimba #UsajiliWaSimba #SimbaCAF #AzamFC #AzamNews #CAFChampionsLeague #CAFCL #CAFConfederationCup #AFCON #TanzaniaFootball #MechiLeo #UtabiriWaMechi #MjadalaWaSoka #DerbyYaKariakoo #NBCPremierLeague #SokaAfrica #SportsNewsT #DerbyYaKariakoo #Yanga #YangaSC #YangaLeo #YangaNews #KikosiChaYanga #UsajiliWaYanga #YangaCAF #NguvuMoja #Wananchi #DaimaMbele #Simba #SimbaSC #SimbaLeo #SimbaNews #KikosiChaSimba #UsajiliWaSimba #SimbaCAF #Mnyama #NguvuMojaSimba #AzamFC #AzamNews #AzamLeo #KikosiChaAzam #UsajiliWaAzam #CAFCL #CAFChampionsLeague #CAFConfederationCup #AFCON #SokaAfrica #FootballAfrica #NBCPremierLeague #LigiKuuBara #MapambanoYaSoka #MjadalaWaSoka #UtabiriWaMechi #RatibaYaMechi #TakwimuZaMpira #MagoliLeo #GoliLaWiki #BestGoals #CleanSheet #Penalty #FreeKick #CornerKick #Offside #VAR #RefereeTZ #StadiumTZ #UwanjaWaMkapa
Yanga SC imeichakaza JKT Tanzania mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam. Wafungaji wa magoli haya ni Mohamed Hussein Zimbwe Jr,, Aurellio Depu, Mudathir Yahya, Prince Dube na Shekhan Ibrahim.
Yanga SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la Amahoro, jijini Kigali, Rwanda. Mchezo huo uliokuwa hitimisho la Siku ya Rayon Sports #RayonSportsDay , umeshuhudia wenyeji wakitangulia kwa goli la kujifunga kupitia kwa Aziz Andambwile. Yanga walicharuka na kupiga mabao matatu kupitia kwa Andy Boyeli, Pacome Zouzoua, na Bakari Mwamnyeto.
UCHAMBUZI WA GHARIB MZINGA KUHUSU ANDY BOYELI
Usisahau ku-subscribe, ku-share, ku-comment na ku-like...