Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026
Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026

Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.



Magoli | Fountain Gate 0-2 Azam FC | NBC Premier League 12/06/2026
Magoli | Fountain Gate 0-2 Azam FC | NBC Premier League 12/06/2026

Jean Jaques Ngita na Jephte Kitambala Bola wameipa Azam FC magoli mawili muhimu ugenini wakiondoka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha dhidi ya Fountain Gate FC. Haya hapa magoli yote mawili...



Clement Mzize alikuwepo uwanjani wakati Yanga Sc ikiifunga Namungo mabao.
Clement Mzize alikuwepo uwanjani wakati Yanga Sc ikiifunga Namungo mabao.

#MatokeoYaMechi #HighlightsZaMechi #UchambuziWaMpira #TransferNewsTanzania #BreakingNewsMpira #Yanga #YangaSC #YangaLeo #YangaNews #KikosiChaYanga #UsajiliWaYanga #YangaCAF #Simba #SimbaSC #SimbaLeo #SimbaNews #KikosiChaSimba #UsajiliWaSimba #SimbaCAF #AzamFC #AzamNews #CAFChampionsLeague #CAFCL #CAFConfederationCup #AFCON #TanzaniaFootball #MechiLeo #UtabiriWaMechi #MjadalaWaSoka #DerbyYaKariakoo #NBCPremierLeague #SokaAfrica #SportsNewsT #DerbyYaKariakoo #Yanga #YangaSC #YangaLeo #YangaNews #KikosiChaYanga #UsajiliWaYanga #YangaCAF #NguvuMoja #Wananchi #DaimaMbele #Simba #SimbaSC #SimbaLeo #SimbaNews #KikosiChaSimba #UsajiliWaSimba #SimbaCAF #Mnyama #NguvuMojaSimba #AzamFC #AzamNews #AzamLeo #KikosiChaAzam #UsajiliWaAzam #CAFCL #CAFChampionsLeague #CAFConfederationCup #AFCON #SokaAfrica #FootballAfrica #NBCPremierLeague #LigiKuuBara #MapambanoYaSoka #MjadalaWaSoka #UtabiriWaMechi #RatibaYaMechi #TakwimuZaMpira #MagoliLeo #GoliLaWiki #BestGoals #CleanSheet #Penalty #FreeKick #CornerKick #Offside #VAR #RefereeTZ #StadiumTZ #UwanjaWaMkapa



Yanga SC 5-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 25/02/2026
Yanga SC 5-0 JKT Tanzania | Highlights | NBC Premier League 25/02/2026

Yanga SC imeichakaza JKT Tanzania mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam. Wafungaji wa magoli haya ni Mohamed Hussein Zimbwe Jr,, Aurellio Depu, Mudathir Yahya, Prince Dube na Shekhan Ibrahim.



Rayon Sports 1-3 Yanga SC | Highlights | Mechi ya Kirafiki | Rayon Sports Day 15/08/2025
Rayon Sports 1-3 Yanga SC | Highlights | Mechi ya Kirafiki | Rayon Sports Day 15/08/2025

Yanga SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la Amahoro, jijini Kigali, Rwanda. Mchezo huo uliokuwa hitimisho la Siku ya Rayon Sports #RayonSportsDay , umeshuhudia wenyeji wakitangulia kwa goli la kujifunga kupitia kwa Aziz Andambwile. Yanga walicharuka na kupiga mabao matatu kupitia kwa Andy Boyeli, Pacome Zouzoua, na Bakari Mwamnyeto.




Next »


Popular Tags

#Franck Ribery  #Kawhi Leonard  #Football Skills  #New York Knicks  #Zlatan Ibrahimovi  #Stephen Curry  #Lionel Messi  #Boston Celtics  #Michael Jordan  #Counter Attack Goals Football  

Popular Users

#BrunoMars  #justinbieber  #Oprah  #SteveNash  #StephenCurry30  #b_ryan9  #nyt4thdownbot  #BillGates  #DeAndre  #JJWatt  #billbarnwell  #WWE  #geniebouchard  #MichelleDBeadle