Boca Juniors le ganó 2-1 a Atlético Tucumán en la #Bombonera con dos goles de Luca #Langoni (el segundo fue un golazo y ...
Torneo AFA 2022 Fecha 16 Goles: 16' A. Lotti (AT), 77' L. Langoni (B) y 87' L. Langoni (B). No te pierdas los videos del Torneo AFA 2022 en nuestra playlist: https://bit.ly/3PMhTAq ¿Ya te suscribiste a nuestro canal? https://bit.ly/3bAT9rx Para más información, visita http://www.espn.com No te olvides de seguirnos en TODAS las redes: - https://www.facebook.com/ESPNFutbol - https://twitter.com/ESPNFutbolarg - https://www.instagram.com/espnfutbolarg - https://www.facebook.com/ESPNFans - https://twitter.com/ESPNArgentina - https://www.instagram.com/espnargentina/
QUE PARTIDO del pibe Luca Langoni entrando y marcando un doblete para el 2-1 en la Bombonera contra los punteros. Mira el ...
El pibe Luca Langoni entro y empato el partido 1-1 en la Bombonera contra los punteros. Mira el partido en VIVO y HD afuera de ...
RETO: 30.000 LIKES!! El mejor partido del mundo en el fútbol, de los videos más épicos de YouTube con los mejores futbolistas juveniles de Boca Juniors en La Bombonera... Seguime en Twitch! Hago stream todos los días https://twitch.tv/FRANcabj Seguime en Tiktok! https://www.tiktok.com/@_franmg Seguime en Instagram! https://instagram.com/fran Seguime en Facebook! https://facebook.com/TheFranMG Suscríbete! :D http://www.youtube.com/user/TheFranMG?sub_confirmation=1 muchos goles jaja SUSCRIBITE a mi NUEVO CANAL!! https://www.youtube.com/FranMG10?sub_confirmation=1 ÚNETE A MI CANAL ACÁ!! https://www.youtube.com/FranMG/join Boca 8 Central Córdoba 1, gol de Pavón x2, gol de Salvio, gol del Changuito Zeballos, gol del Pulpo González, gol de Mancuso, gol de Vázquez y gol de Villa. Boca 7 Central Córdoba 0 (reserva), gol de Langoni (hat trick), gol de Morales, gol de Taborda, gol de Carrasco y gol en contra de Loboa.
Tazama mashuti nane yaliyopigwa na wachezaji wa Dodoma Jiji kwenye lango la Simba na golikipa Aishi Manula kuonesha ufundi wake. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
MITIHANI MITANO MWAMUZI SIMBA VS AZAM FC NUSURA NGUMI ZIPIGWE MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ameendeleza moto wake wa kucheka na nyavu baada ya kupachika bao lake la saba ndani ya ligi na kuipa pointi tatu timu ya Simba mbele ya Azam FC. Mchezo wa leo ambao umechezwa uwanja wa Taifa ulikuwa na ushindani mkubwa na ulitawaliwa na ubabe mwingi kutokana na kila timu kuhitaji kupata pointi tatu. Simba wakiwa wenyeji wa mchezo iliwabidi wasubiri mpaka dakika ya 49 kuandika bao la kuongoza lililopachikwa kimiani na Kagere akimalizia pasi ya Francis Kahata kwa kichwa. Ushindi huo unaifanya Simba kuzidi kujikita kileleni ikiwa na pointi 15 na imecheza michezo mitano kwa kusepa na pointi zote tatu. Beki wa Simba, Pascal Wawa ndiye alikuwa nyota wa mchezo kwani aliokoa hatari nyingi kutoka kwa Chirwa ambaye alikuwa msubufu langoni akihaha kupata goli la ushindi ila bahati haikuwa yao. Simba ilifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kumtoa Sharaf Shiboub nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama, Hassan Dilunga alimpisha Miraj Athuman, Francis Kahata alimpisha Ibrahim Ajib kwa upande wa Azam FC alitoka Richard Djoud YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?lial...
DAKIKA 15 ZA SIMBA VS AZAM FC, (1 -0) VPL MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ameendeleza moto wake wa kucheka na nyavu baada ya kupachika bao lake la saba ndani ya ligi na kuipa pointi tatu timu ya Simba mbele ya Azam FC. Mchezo wa leo ambao umechezwa uwanja wa Taifa ulikuwa na ushindani mkubwa na ulitawaliwa na ubabe mwingi kutokana na kila timu kuhitaji kupata pointi tatu. Simba wakiwa wenyeji wa mchezo iliwabidi wasubiri mpaka dakika ya 49 kuandika bao la kuongoza lililopachikwa kimiani na Kagere akimalizia pasi ya Francis Kahata kwa kichwa. Ushindi huo unaifanya Simba kuzidi kujikita kileleni ikiwa na pointi 15 na imecheza michezo mitano kwa kusepa na pointi zote tatu. Beki wa Simba, Pascal Wawa ndiye alikuwa nyota wa mchezo kwani aliokoa hatari nyingi kutoka kwa Chirwa ambaye alikuwa msubufu langoni akihaha kupata goli la ushindi ila bahati haikuwa yao. Simba ilifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kumtoa Sharaf Shiboub nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama, Hassan Dilunga alimpisha Miraj Athuman, Francis Kahata alimpisha Ibrahim Ajib kwa upande wa Azam FC alitoka Richard Djoud YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?lialiyempisha Chilunda, Frank Domayo alimpisha Donald Ngoma.