CREDİT : (tarnue_david-IG) ÇOK BÜYÜK BİR HATA YAPTI (tarnue_david-IG) Disclaimer: This information is taken from the internet which may or may not be true we DO NOT want to spread any fake news. The content provided by this channel is meant for EDUCATIONAL PURPOSE only. Copyright Disclaimer:- Under section 107 of copyright Act 1976, allowance is made for FAIR USE for purpose such a criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship and research. Fair use is as permitted by copyright statues that might otherwise be infringing.
Mchambuzi na Mtangazaji wa soka, Baraka Mpenja ametoa mtazamo wake kuhusu nusu fainali ya Ngao ya Jamii ya Dabi ya Kariakoo itakayopigwa kesho Agosti 8, 2024 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku akisisitiza dabi hiyo huwa haitabiriki, lakini anaona itaamuliwa na eneo la kiungo. Hata hivyo, Mpenja amesema wachezaji wapya watano au sita waliosajiliwa msimu huu na Simba wanaweza kuanza kikosi cha kwanza, lakini kwa upande wa Yanga haoni mabadiliko makubwa kwani kikosi kinaweza kuwa kile kile, huku akimpa Prince Dube nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza cha timu hiyo. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
2024.08.01(THU) 18:00P.B. https://youtu.be/IZD4nHAyqc8?si=Ju8MYazudH88iTbA PERSOL Pacific League Regular Season CHIBA LOTTE MARINES 4-1 SAITAMA SEIBU LIONS ZOZO MARINE STADIUM (Chiba city, Chiba, JAPAN) Attendance. 27,167 00:28 Walk Theme 00:49 Hitting Theme No.1 01:51 New Hitting Theme 02:20 Homerun Call 03:26 Homerun Theme 03:57 Summer Limited Chant 05:01 Homerun Theme 05:31 Hit Theme No.7 05:59 New Hitting Theme 06:28 38. Akito TAKABE 07:24 Walk Theme 07:45 22. Gregory POLANCO 09:26 Walk Theme 10:06 23. Shingo ISHIKAWA 12:44 Summer Limited Chant 13:33 Shori no Hata (Victory Flag) 14:59 Hit Theme No.2 15:34 Hitting Theme Mo.1 16:47 57. Ryusei OGAWA 18:11 99. Neftali SOTO 18:51 Victory Theme 20:07 Summer Limited Chant 22:02 57. Ryusei OGAWA 24:33 Hit Theme No.6 25:21 Delight Theme パ・リーグ公式戦 千葉ロッテ vs 埼玉西武 14回戦 千葉ロッテマリーンズ 4-1 千埼玉西武ライオンズ L|000 010 000|1 3 0 M|000 211 000|4 5 0 ZOZOマリンスタジアム 2:55 27,167人 1回裏 00:28 四球テーマ(ポランコ) 2回裏 00:49 ヒッティングテーマ1(藤原) 3回裏 01:51 新ヒッティングテーマ(友杉) 4回裏 02:20 ホームランコール(ソト) 03:26 ホームランテーマ(角中 右越本②) 03:57 夏限定 5回裏 05:01 ホームランテーマ(藤原 右越本①) 05:31 ヒットテーマ7 05:59 新ヒッティングテーマ(友杉) 06:28 38.髙部 瑛斗 6回裏 07:24 四球テーマ(藤岡) 07:45 22.グレゴリー・ポランコ 09:26 四球テーマ(ポランコ) 10:06 23.石川 慎吾 12:44 夏限定(石川慎 左中2①) 7回裏 13:33 勝利の旗 14:59 ヒットテーマ2(藤原 右前安) 15:34 ヒッティングテーマ1(髙部) 8回裏 16:47 57.小川 龍成 18:11 99.ネフタリ・ソト 9回裏 18:51 勝利のテーマ 20:07 夏限定 二次会 22:02 57.小川 龍成 24:33 ヒットテーマ6 25:21 歓喜のテーマ
Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Shabiki wa Simba maarufu 'GB 64,' ametoa mtazamo wake kuhusu maboresho ya kikosi hicho katika kipindi hiki cha usajili, akidai kuwa anatamani kusikia mshambuliaji, Pa Omar Jobe akipewa mkono wa kwa heri kwani kiwango chake kinazidi kushuka na hana mchango tena ndani ya kikosi hicho msimu ujao 2024/25. Hata hivyo, anatamani kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI awe miongoni mwa mastaa wa Wekundu wa Msimbazi, huku akitamba tayari kiungo wao Clatous Chama, ameshasaini miaka miwili kuitumikia timu yao. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Baada ya beki wa kati, Abdallah Shaibu 'Ninja' kumalizana na Lubumbashi Sport ya DR Congo, ametaja mipango aliyonayo kwa msimu ujao, huku akisimulia kisa kupiga picha na Injinia Hersi Said. Ninja alijiunga na Lubumbashi Sports kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea Yanga ameutumikia mmoja, kisha ameomba kuondoka akitoa sababu ni usalama mdogo wa maisha ya DR Congo. "Japo kuna timu tatu za DR Congo zinahitaji huduma yangu, labda nipewe pesa ndefu, hata nikikaa kwa shida familia yangu Tanzania iwe salama, nje na hapo zipo timu hapa nyumbani zinahitaji huduma yangu nitazipa nafasi, kwanza Ligi Kuu Bara ni maarufu na inafuatiliwa na nchi mbalimbali," amesema na kuongeza; "Wakati nafika mara ya kwanza, niliambiwa kutembea mwisho saa 3:00 usiku, kila mtaa unapita unakutana na askari, sasa kuna wakati mwingine unaweza ukatoka kutafuta chakula cha Kitanzania, saa 3:00 ikikukutia nje ya nyumba yako ni shida." Hata hivyo, Ninja amesema hatosahau kipigo alichopigwa na walinzi wakati akiingia uwanjani kwenda kukutana na Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Fenerbahçe 6-0 İstanbulspor | Maç sonu Gündeme dair en hızlı ve kaliteli içerikleri kaçırmamak için hemen kanalımıza abone ...
Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv