Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka
Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka

KUTOKA CAIRO MISRI: " ....msimu huu tunahitaji kuwapiku Yanga" Baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Wadi Degla FC inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo, Kocha wa Simba, Fadlu davids anaeleza baadhi ya mambo ambayo ameridhika nayo, na maeneo ambayo bado ana kazi ya kufanya.... Kuhusu kikosi chake, Kocha Fadlu anasema bado wanahitaji angalau mchezaji mmoja mwenye kitu cha ziada (X-Factor) atakayewaongezea kitu hasa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na mbio za ubingwa wa #NBCPremierLeague msimu ujao wakilenga kuwa juu ya Yanga ... Fadlu anasema anaamini mdhamini wao upande wa jezi, 'Jayruty', atalimaliza hilo.... Naye mfungaji wa moja kati ya magoli mawili ya Simba, Kibu Denis anazungumza machache kuhusu maendeleo ya kambi nchini Misri.... Patrick Nyembera anakuja na taarifa kamli kuhusu mchezo huo... #SimbaSC #SimbaEgypt #SimbaPreSeason



مباشر 🎙️🖥️لقاء النادي الرياضي الصفاقسي ⚔️ النجم الرياضي بالمتلوي
مباشر 🎙️🖥️لقاء النادي الرياضي الصفاقسي ⚔️ النجم الرياضي بالمتلوي

مباشر 🎙️🖥️ لقاء النادي الرياضي الصفاقسي ⚔️ النجم الرياضي بالمتلوي



E134 - Miguel Cairo Ejected After Nationals Nearly Give Up Lead to Mets, Todd Tichenor Calls a Ball
E134 - Miguel Cairo Ejected After Nationals Nearly Give Up Lead to Mets, Todd Tichenor Calls a Ball

HP Umpire Todd Tichenor ejected Nationals manager Miguel Cairo for arguing a ball two call to Mark Vientos after the Mets ...



Kocha Msaidizi Simba SC, Matola atoa ratiba ya kikosi hicho, Abel afichua siri ya kambi
Kocha Msaidizi Simba SC, Matola atoa ratiba ya kikosi hicho, Abel afichua siri ya kambi

KUTOKA ISMAILIA: “Mwaka jana Fadlu alikuwa ni mgeni lakini mwaka huu ameshakuwa mwenyeji na ameshajua karibu wachezaji wote” Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola amesema ushindani ni mkubwa ndani ya kikosi hicho kwasababu kila mchezaji anataka kuonesha uwezo wake. Matola pia ametoa ratiba ya kikosi hicho watakapofika jijini Cairo. Mchezaji Saleh Karabaka anasema kuingia kwenye maji yenye barafu ni shughuli nzito kwake, ni lazima pawepo watu watatu kumshika. Wachezaji wengine waliozungumzia maendeleo ya kambi hiyo ni pamoja na Bajaber Mohamed, Morice Abraham pamoja na Hussein Abel ambaye amefichua namna wachezaji ‘walivyoamka’ kambini. #Simba



🎙️🖥️ مباشر : النادي الرياضي الصفاقسي ⚔️ الترجي الرياضي الجرجيسي 🤍🖤
🎙️🖥️ مباشر : النادي الرياضي الصفاقسي ⚔️ الترجي الرياضي الجرجيسي 🤍🖤

🎙️🖥️ مباشر : النادي الرياضي الصفاقسي ⚔️ الترجي الرياضي الجرجيسي 🤍🖤



E114 - Miguel Cairo Ejected as Chris Guccione Calls Check Swing Strikeout on James Wood
E114 - Miguel Cairo Ejected as Chris Guccione Calls Check Swing Strikeout on James Wood

HP Umpire Chris Guccione ejected Nationals interim manager Miguel Cairo for arguing a check swing strike three call on James ...



Miguel Cairo Named Interim Manager of the Washington Nationals
Miguel Cairo Named Interim Manager of the Washington Nationals

00:00 - Intro 00:31 - Miguel Cairo Named Interim Manager of the Washington Nationals 02:55 - Washington Nationals Shake Up: ...



Miguel Cairo after Tuesday's loss to the Cardinals
Miguel Cairo after Tuesday's loss to the Cardinals

The Nationals fell 4-2 after a long rain delay. Miguel Cairo on Jake Irvin, the lineup and more. More: https://masn.me/nats.




« Previous Next »


Popular Tags

#Miami Heat  #Los Angeles Lakers  #Gareth Bale  #Lionel Messi  #Shaquille O'Neal  #Zlatan Ibrahimovi  #Paul Pogba  #Amazing Solo Goals  #Goalkeeper Saves  #Lionel Messi  

Popular Users

#ddlovato  #jtimberlake  #Harry_Styles  #AntDavis23  #JLo  #steveaustinBSR  #JasonDufner  #DwyaneWade  #darrenrovell  #mcuban  #KingJames  #nfl  #BellaTwins  #britneyspears