MWANZA: LIONEL Christian Ateba anaipeleka Simba SC mapumziko kifua mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Pamba FC katika mtanange wa NBCPL Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
KIGOMA: BAO pekee la Steve Mukwala dakika ya 90+7 limetosha kuipa Simba ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma na kukwea hadi nafasi ya pili ya Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mukwala alipiga mpira wa kichwa katika ya mabeki wa Mashujaa baada ya kuungapisha kona iliyopigwa na Awesu Awesu . Mchezo huo ulikuwa wa ushindani ndani ya dakika 90 Simba walifanya shambulizi dakika ya 20 Leonel Ateba alifanya kazi nzuri lakini Kibe Denis alipiga shuti na mpira kutoka nje. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
HERSI ASHINDWA KUIZUIA FURAHA YAKE MBELE YA NAIBU WAZIRI#tanzania #bungenidodoma #habari #siasa #itv #CLOUDSTV#ETV#SIMBATV#YANGA
Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
CHEKI MASTAA YANGA WALIVYOTEKA VIPENGELE TUZO ZA MSIMU LEO
Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-1769382496709093/ HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?igshid=3s42x88l3cv1 SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid=1n887zd46t3i8 TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09 @Daily News Digital @Daily News Digital @Daily News Digital
Tazama tukio hili la Wabunge kumkaribisha Mchezaji wa kimataifa wa timu ya Crystal Palace ya Uingereza na timu ya taifa ya Ufaransa Mamadou Sakho, baada ya kutambulishwa bungeni wakati kikao cha 41 cha Bunge la Bajeti kilipokuwa kikiendelea jijini Dodoma leo.