Onyango Save Sedio Mane penalt Uganda 0-1 Senegal afcon 2019 Egypt. PENALTY SAVE by Denis Onyango wa Uganda aokoa penati ya Sadio Mane dakika ya 61. Uganda 0-1 Senegal. #AFCON #AFCON2019 #DenisOnyango #TotalAFCON2019 #Egypt2019 #AzamTVUpdates #Sports #Michezo #UGANDA #SENEGAL #UGASEN #Onyango
Serikali ya Kenya imetuma ujumbe maalumu kwa Rais Dkt. John Magufuli unaoelezea msimamo wa Serikali ya nchi hiyo kuhusu kukerwa na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Mbunge wa jimbo la Starehe, Charles Njagua Kanyi maarufu kwa jina la Jaguar. #AzamNews #UTV #AzamTVUpdates