Ni mechi ya kimataifa ya kirafiki ikiwa ni sehemu ya sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Malawi, imepigwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Bingu, Lilongwe Malawi. Mechi hiyo imeshuhudia Yanga SC kutoka Tanzania wakilazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji wao Nyasa Big Bullets. Haya ni baadhi ya matukio makuu kwenye mchezo huo ulikuwa mbashara #AzamSports1HD #MalawiAt59
MAYELE EXCLUSIVE INTERVIEW : https://youtu.be/HgKpLY_hlJ0 #mayele #yangasc #azamsports1hd #mpenjatv #manaratv ...
Fuatilia Uchambuzi wa mechi ya NBC Premier League kati ya Geita Gold dhidi ya Tanzania Prisons kupitia #AzamSports1HD ...
NBCPremierLeague #AzamSports1HD #SimbaSC #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague #NBCPLUpdates ...
Wasikie Wachambuzi mahiri wa kandanda ndani ya Sports AM ya #AzamSports1HD, Ramadhani Mbwaduke, Clarence Kunambi ...
Usikose kutazama kipindi cha Viwanjani kila Jumatatu, Jumatano na Ijumaa kuanzia saa 3:00 asubuhi kupitia #AzamSports1HD ...
Ni Simba vs Azam saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #NBCPL ...
Usikose kutazama kipindi cha Viwanjani kila Jumatatu, Jumatano na Ijumaa kuanzia saa 3:00 asubuhi kupitia #AzamSports1HD ...