Tazama pambano lote Eric Katompa kutoka DR Congo akimshinda kwa mara nyingine bondia Mtanzania, Dullah Mbabe kwenye pambano lililofanyika jijini Arusha. Ushindi wa Katompa ni kutokana na uamuzi wa majaji wote watatu.
MANDONGA VS ALIBABA: Ni Vitasa Night Arusha, Karim Mandonga akimpiga Alibaba Tarimo kwa pointi, pambano la raundi nne. Tazama jinsi ngumi ya Pelesu Pelesu ilivyofanya kazi kutoka kwa Karim Mandonga Mtu Kazi. Ni pambano la utangulizi katika Usiku wa Mabingwa (#DisciplineNight ) pambano kuu likiwa ni Mfaume Mfaume vs Idd Pialali. Hapa ni AICC Arusha. #Vitasa #VitasaArusha #AchaInyeshe #VitasaNight #Vitasa #UsikuWaMabingwa #AchaInyeshee #Pelesupelesu