Magoli na mikwaju ya penati | Team Feisal 1-1 Bui Combine (Pen:4-2) | Mechi ya Hisani 24/06/2024
Magoli na mikwaju ya penati | Team Feisal 1-1 Bui Combine (Pen:4-2) | Mechi ya Hisani 24/06/2024

Timu Feisal Salum, #TeamFeisal imeondoka na ubingwa wa penati 4-2 baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Timu ya Abdulaziz makame #BuiCombine katika mchezo wa hisani wa kusaidia akina mama wajawazito #SaidiaWazazi uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mao, visiwani Zanzibar. Team Feisal ilitangulia kupata bao kupitia kwa Matheo Anthony dakika ya 6 kabla ya Obrey Chirwa kuisawazishia Bui Combine dakika ya 89. Ikapigwa mikwaju kumi ya penati ambapo Team Feisal ilipata penati nne ikiwemo y Fiston Mayele dhidi ya mbili za Bui Combine. Tazama hapa magoli mawili na penati zote kumi.





Popular Tags

#James Harden  #David Silva  #Chris Paul  #Gareth Bale  #Goal Celebrations  #Stephen Curry  #Best Football Defending Skills  #Los Angeles Lakers  #Paul Pogba  #Best Ball Controls  

Popular Users

#steveaustinBSR  #ddlovato  #cnnbrk  #BaileyLAKings  #instagram  #LarryFitzgerald  #Drake  #sydneyleroux  #SrBachchan  #Oprah  #BillGates  #GNev2  #iamsrk  #BadgerMBB  #hunterpence