FRIJI BOVU AWALIPUA YANGA, PAMOJA NA KUBEBWA NA REFA DODOMA WAMEWAPASUA. SIMBA WASHINDWE WENYEWE TU#azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #simba #simbasc #wasafi #millardayo #yanga
Usipitwe na habari za moto! Karibu TESLOTY. 🔥 Hapa tunakupa kile kinachoendelea mjini na nchi nzima kwa haraka na kwa usahihi. Kutoka kwenye majukwaa ya siasa hadi matukio ya kijamii yanayovuma (trending), TESLOTY ipo hapa kwa ajili yako. 📌 Kwenye video hii: 🔴#LIVE: DODOMA JIJI VS YANGA SC_ NBC LIGI KUU Kama unapenda habari bila chenga, fanya hivi sasa hivi: Gonga kitufe cha SUBSCRIBE hapo chini. Like video hii (Inatusaidia sana kufika mbali!). Share na rafiki zako wasibaki nyuma. Matangazo na Biashara: Tuma ujumbe kwenda: support@tesloty.com #TESLOTY #HabariZaLeo #SiasaTanzania #BreakingNews #TrendingTanzania #Siasa #HabariMpya #Tanzania
USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU. INSTAGRAM @pmtvtz TIKTOK @officialpmtv TOVUTI: www.pmtv.co.tz
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga SC wamepoteza mchezo kwa mara ya kwanza msimu huu, wakichapwa 3-2 na Dodoma Jiji, mchezo, mchezo ukipigwa Airtel Stadium, Singida. Magoli ya Yanga yamefungwa na Allan Okello dakika ya 2 na 41, huku magoli ya Dodoma Jiji yakitoka kwa Bakari Mwamnyeto aliyejifunga dakika ya 29, Mwana Kibuta David dakika ya 90 na Wazir Junior Shemtembo dakika za nyongeza. Haya hapa magoli yote..
For business please contact us email: bahariatv.secure@gmail.com All rights rerved @BahariaTV 2026