Leo Novemba 2,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Mchezo wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Yanga SC, utakaochezwa Dimba la Benjamin Mkapa,Saa 11 Jioni. Aidha Ahmed amesema mpango wao siku ya Jumapili ni kuhakikisha wanaujaza Uwanja wa Benjamini Mkapa kwa asilimia kubwa zaidi ya Watani wao. Pia ametoa Mchakato mzima wa Uuzwaji wa Tiketi.
Simba SC imeendeleza ushindi katika mchezo wa tano mfululizo, ikiitandika Singida Big Stars mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Liti, mkoani Singida. Magoli ya Simba yametoka kwa Saidi ntibazonkiza dakika ya 26 na Moses Phiri dakika ya 83 huku goli la Singida likitokea kwa Deus Kaseke dakika ya 52.
Watch more #betPawaPremierLeague games live on ST Adepa Ch. 247 & StarTimes ON App 馃摬
Ya lleg贸 la #crudafutbolera con las Incre铆bles Declaraciones del Tano Ortiz, Cruz Azul en CRISIS y Salcedo hace Fiesta, Tigres gana Cl谩sico Regio y todo el resumen de la Jornada 9 https://youtu.be/1opvXRuTAB8 Convi茅rtete en miembro de este canal para disfrutar de ventajas: https://www.youtube.com/channel/UC5zYksN6pv3jiCBdL0ykrYg/join Enlaces Twitter: https://twitter.com/bosersalseo Facebook: https://www.facebook.com/sectaboseriana Instagram: https://instagram.com/boser_salseo Algunas fotograf铆as utilizadas en esta producci贸n son propiedad de la Agencia Fotogr谩fica Mexsport