HASSAN DILUNGA - "Ni ZAWADI ya Sikukuu kwa MASHABIKI wa SIMBA
HASSAN DILUNGA - "Ni ZAWADI ya Sikukuu kwa MASHABIKI wa SIMBA

HASSAN DILUNGA - "Ni ZAWADI ya Sikukuu kwa MASHABIKI wa SIMBA HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa ushindi wa leo wa mabao 4-0 mbele ya Lipuli uwanja wa Uhuru ni zawadi ya mashabiki siku ya X-Mass na umetokana na umakini wa kutumia makosa ya wapinzani wao kupata matokeo. Kwenye jumla ya mabao 4-0 ambayo Simba imefunga leo, Dilunga alifunga mabao mawili dakika ya 57 kwa mkwaju wa penalti na la pili dakika ya 65 akimalizia pasi ya Sharaf Shiboub huku lile la ufunguzi likifungwa na Francis Kahata akimalizia pasi ya Shomari Kapombe dakika ya 10 na la pili Meddie Kagere alipachika akimalizia pasi ya Clatous Chama. GLOBAL TV ONLINE (+255 784 888982) HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li



Mashabiki Simba Wagoma KOCHA Kuondoka, Upepo wa ZAHERA
Mashabiki Simba Wagoma KOCHA Kuondoka, Upepo wa ZAHERA

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC leo wameiadhibu Ruvu Shooting baada ya kuichapa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Nyota wa mchezo wa LEO NOV 23, 2019 alikuwa ni mshambuliaji Miraji Athumani ‘Madenge’ aliyefunga mabao mawili, huku linguine likifungwa na beki Mbrazil, Tairone Santos da Silva. Kikosi cha Ruvu Shooting kilikuwa; Mohamed Makaka, Omary Kindamba, Kassim Simbaulanga, Renatus Ambroce, Rajab Zahir, Zuberi Dabi, Emmanuel Martin, Shaaban Msala/Moses Shaaban dk73, Saadat Mohamed, Said Dilunga/Fully Maganga dk58 na Edward Christopher/Abdulrahman Mussa dk61. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Pascal Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Hassan Dilunga/Deo Kanda dk63, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Ibrahim Ajibu dk75, Miraji Athuman ‘Madenge’ na Francis Kahata/Sharaff Eldin Shiboub dk79. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Masau Bwire: Mzigo Ulikuwa Mkubwa...Meli Imezama!!
Masau Bwire: Mzigo Ulikuwa Mkubwa...Meli Imezama!!

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars MABINGWA watetezi, Simba SC leo wameiadhibu Ruvu Shooting baada ya kuichapa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Nyota wa mchezo wa LEO NOV 23, 2019 alikuwa ni mshambuliaji Miraji Athumani ‘Madenge’ aliyefunga mabao mawili, huku linguine likifungwa na beki Mbrazil, Tairone Santos da Silva. Kikosi cha Ruvu Shooting kilikuwa; Mohamed Makaka, Omary Kindamba, Kassim Simbaulanga, Renatus Ambroce, Rajab Zahir, Zuberi Dabi, Emmanuel Martin, Shaaban Msala/Moses Shaaban dk73, Saadat Mohamed, Said Dilunga/Fully Maganga dk58 na Edward Christopher/Abdulrahman Mussa dk61. Simba SC; Aishi Manula, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, Tairone Santos, Pascal Wawa, Gerson Fraga ‘Viera’, Hassan Dilunga/Deo Kanda dk63, Muzamil Yassin, Meddie Kagere/Ibrahim Ajibu dk75, Miraji Athuman ‘Madenge’ na Francis Kahata/Sharaff Eldin Shiboub dk79. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars



Simba 4-0 Mbeya city, Magoli Yote ya Simba, Kagere, Chama, Shiboub na Deo Kanda
Simba 4-0 Mbeya city, Magoli Yote ya Simba, Kagere, Chama, Shiboub na Deo Kanda

SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1



Magoli yote: Simbasc 4-0 Mbeya city Kagere + Shiboub + Kanda+Chama
Magoli yote: Simbasc 4-0 Mbeya city Kagere + Shiboub + Kanda+Chama

Full time:Simbasc 4-0 Mbeya city Kagere + Shiboub + Kanda #VPLUpdates #AzamSports2 #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPL #SimbaSC #MbeyaCity #SimbaMbeyaCity



MITIHANI MITANO YA MWAMUZI SIMBA VS AZAM FC NUSURA NGUMI ZIPIGWE
MITIHANI MITANO YA MWAMUZI SIMBA VS AZAM FC NUSURA NGUMI ZIPIGWE

MITIHANI MITANO MWAMUZI SIMBA VS AZAM FC NUSURA NGUMI ZIPIGWE MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ameendeleza moto wake wa kucheka na nyavu baada ya kupachika bao lake la saba ndani ya ligi na kuipa pointi tatu timu ya Simba mbele ya Azam FC. Mchezo wa leo ambao umechezwa uwanja wa Taifa ulikuwa na ushindani mkubwa na ulitawaliwa na ubabe mwingi kutokana na kila timu kuhitaji kupata pointi tatu. Simba wakiwa wenyeji wa mchezo iliwabidi wasubiri mpaka dakika ya 49 kuandika bao la kuongoza lililopachikwa kimiani na Kagere akimalizia pasi ya Francis Kahata kwa kichwa. Ushindi huo unaifanya Simba kuzidi kujikita kileleni ikiwa na pointi 15 na imecheza michezo mitano kwa kusepa na pointi zote tatu. Beki wa Simba, Pascal Wawa ndiye alikuwa nyota wa mchezo kwani aliokoa hatari nyingi kutoka kwa Chirwa ambaye alikuwa msubufu langoni akihaha kupata goli la ushindi ila bahati haikuwa yao. Simba ilifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kumtoa Sharaf Shiboub nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama, Hassan Dilunga alimpisha Miraj Athuman, Francis Kahata alimpisha Ibrahim Ajib kwa upande wa Azam FC alitoka Richard Djoud YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?lial...




« Previous Next »


Popular Tags

#Best Goals Ever  #Neymar  #Derrick Rose  #Shaquille O'Neal  #Shot Goals  #Best Goalkeeper Saves  #Paul George  #Allen Iverson  #Shot Goals  #Chris Paul  

Popular Users

#KDTrey5  #selenagomez  #THNRyanKennedy  #Cristiano  #justinbieber  #nytimes  #realmadrid  #RyanBabel  #shakira  #HEELZiggler  #TheCUTCH22  #LarryFitzgerald  #UKCoachCalipari  #Drake  #lindseyvonn