Simba Pro ni Channel maalum kwaajili ya mashabiki wa Simba ambayo inajihusisha na kuongelea klabu ya Simba kiundani, imebobea kwenye maswala ya usajili pamoja na uchambuzi wa michezo ya Simba Pia Simba Pro inafahamika ndani na nje ya nchi kuanzia Tanzania Kenya Uganda Burundi Congo United States Zambia China na Germany huko kote kuna watazamaji wanafatilia Channel hii Waendesha vipindi ni Heavyweight Dulla ambae anapatikana Instagram kama Heavyweight_dullah pamoja na Innocent Moshy ambae anapatikana Instagram na Tiktok kama Realmoshyy Simba Pro ndio channel ya mashbaiki wa simba inayofanya vizuri zaidi kuliko Channel yoyote ya mashabiki wa Simba Tanzania
Yanga SC imeendeleza ubabe kwenye ligi, kwa kumchapa Singida Black Stars mabao 2-1 kwenye Dimba la KMC Complex, Dar es Salaam. Waliofunga magoli ya Yanga ni Clement Mzize dakika ya 14 na Prince Dube dakika ya 43 wakati Jonathan Sowah akifunga goli pekee la kufutia machozi... Hii ni Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague
FRIJI BOVU AWAVAA YANGA WANAHARIBU LIGI YETU, MPANGO WAO NA SINGIDA TUSHAUSHTUKIA HAFAI HATA KIDOGO #azamfc #football #footballclub #globaltvonline #live #millardayo #simba #simbasc #wasafi #yanga