MWADUI FC VS KAGERA SUGAR: Magoli ya David Luhende, Yusuph Mhilu na na Erick Mwijage yameipa Kagera Sugar ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa kwenye Uwanja wa Mwadui Complex. Haya hapa magoli yote Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
GWAMBINA vs MWADUI: Timu ya Mwadui FC ambayo iko mikiani, imeilaza Gwambina FC mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Dimba la Gwambina Complex, Misungwi Mwanza. Gwambina ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Meshack Abraham kabla ya Mwadui kusawazisha kwa goli la Roshwa Rashid na kuongeza la pili lililofungwa na Mohamed Kassim. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
GWAMBINA 1-2 MWADUI: Timu ya Mwadui FC ambayo iko mikiani, imeilaza Gwambina FC mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Dimba la Gwambina Complex, Misungwi Mwanza. Gwambina ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Meshack Abraham kabla ya Mwadui kusawazisha kwa goli la Roshwa Rashid na kuongeza la pili lililofungwa na Mohamed Kassim. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Tazama uchambuzi kuelekea mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Gwambina FC dhidi ya Mwadui FC. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
RUVU VS MWADUI: Maafande wa Ruvu Shooting wameibutua Mwadui FC kipigo cha 5-1 katika mchezo wa ligi kuu uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani. Magoli kwenye mchezo huu yamefungwa na Edward Charles Manyama, David Richard, Shaban Msalla aliyefunga mawili na Abrahmana Mussa wakati goli la Mwadui likifungwa na Mohamed Hashim. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
RUVU VS MWADUI: Maafande wa Ruvu Shooting wameibutua Mwadui FC kipigo cha 5-1 katika mchezo wa ligi kuu uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mabatini, Pwani. Magoli kwenye mchezo huu yamefungwa na Edward Charles Manyama, David Richard, Shaban Msalla aliyefunga mawili na Abrahmana Mussa wakati goli la Mwadui likifungwa na Mohamed Hashim. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
#RuvuShooting#MwaduiFC#LigiKuuTanzania 🔴LIVE RUVU SHOOTING VS MWADUI FC ( 4 - 0 )
Fuatilia uchambuzi kuelekea mechi tatu za leo za Ligi Kuu Tanzania Bara. Kagera Sugar Vs Simba, Ruvu Shooting Vs Mwadui na Polisi Tanzania Vs Mbeya City. Fuatilia taarifa ya habari ya Adhuhuri Live, pia iko LIVE #UTV na #AzamTvMax Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz