Content removal request!


Magoli: Mwadui walivyotoka nyuma na kuwachapa Gwambina 2-1 nyumbani kwao - VPL 27/04/2021

GWAMBINA 1-2 MWADUI: Timu ya Mwadui FC ambayo iko mikiani, imeilaza Gwambina FC mabao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Dimba la Gwambina Complex, Misungwi Mwanza. Gwambina ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Meshack Abraham kabla ya Mwadui kusawazisha kwa goli la Roshwa Rashid na kuongeza la pili lililofungwa na Mohamed Kassim. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz