SIMBA SC: Elie Mpanzu aanza 'tizi' kambini Misri ; Meneja Simba amaliza utata kuhusu uhalali wake
SIMBA SC: Elie Mpanzu aanza 'tizi' kambini Misri ; Meneja Simba amaliza utata kuhusu uhalali wake

KUTOKA MISRI | โ€œโ€ฆ.hakuna kiumbe yeyote anayeweza kujiita Eliiiii zaidi ya Simba SCโ€ Kikosi cha Simba SC kikiwa kambini nchini Misri, jioni ya leo kimepiga tizi lililomuhusisha pia kiungo wao Elie Mpanzu ambaye ameripoti kambini hapo leoโ€ฆ Katika tizi hizo hilo, meneja wa kikosi hicho, Patrick Rweyemamu amefafanua machache kuhusu utata uliokuwepo juu ya mchezaji huyo, akisema โ€œโ€ฆni propagandaโ€ฆni Gen-z ambao wameingia kwenye mfumo wa kisasa wa mpiraโ€ Rweyemamu amesema klabu hiyo haiwezi kufanya makosa ya kumsajili mchezaji wa aina hiyo kwa mkataba wa miezi sita na kusisitiza kuwa โ€œโ€ฆElie Mpanzu yupo, na ataendelea kuwepo hadi Simba itakavyoamua vinginevyo



AHMED ALLY ATEMA NYONGO KWA MPANZU NA SIMBA/ BAJABER BINADAMU WA KWANZA KUTENGENEZA MPIRA
AHMED ALLY ATEMA NYONGO KWA MPANZU NA SIMBA/ BAJABER BINADAMU WA KWANZA KUTENGENEZA MPIRA

Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV Follow us on Social Media Platforms Instagram: Crown FM - https://www.instagram.com/crownfmtz/ Crown TV - https://www.instagram.com/crowntvtz/ Twitter (X): CROWN MEDIA SWAHILI: https://twitter.com/CrownMediaTZ CROWN MEDIA ENGLISH: https://twitter.com/CrownMediaEN Facebook: CROWN MEDIA: https://www.facebook.com/profile.php?id=61556920898213&sk=followers TIKTOK: - https://www.tiktok.com/@crownmedialive?lang=en SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: https://www.youtube.com/channel/UCWHlCJN-WTamGWp4E6ZrhsA



BODI YA LIGI YAMALIZA HIVI UTATA YATAJA MVP WA LIGI
BODI YA LIGI YAMALIZA HIVI UTATA YATAJA MVP WA LIGI

Shirikisho la mpira Tanzania(TFF) na bodi Ligi kuu imemaliza utata wa nani MVP wa ligi kuu 2024-25. #simbasc #yangasc #pacome #ahoua



ARAFAT HAJI : TULIDHARAULIWA WAKATI TUNAINGIA KWENYE MPIRA | HATUJAWAHI KUYUMBISHWA KWA LOLOTE
ARAFAT HAJI : TULIDHARAULIWA WAKATI TUNAINGIA KWENYE MPIRA | HATUJAWAHI KUYUMBISHWA KWA LOLOTE

โ€œhapa katikati kulikuwa na misemo maarufu hawana uzoefu hawaujui mpira, mpira unaware wakeโ€ Makamu wa Rais wa klabu ya Yanga @arafat__ah Mahojiano haya tumekuwekea katika YouTube channel yetu ya Almas Digital



KABURU aweka wazi sababu za SIMBA kufanya vibaya MISIMU MINNE | Awapa lawama BODI YA WAKURUGENZI
KABURU aweka wazi sababu za SIMBA kufanya vibaya MISIMU MINNE | Awapa lawama BODI YA WAKURUGENZI

Welcome to TV3 โ€“ East Africaโ€™s Home of Sports, Entertainment & Lifestyle! โšฝ๐ŸฅŠ๐Ÿ€ ๐Ÿ“ก Watch TV3 SPORTS on: AzamTV: Channel 416 StarTimes: DTH-197 | DTT-131 ๐Ÿ“ Based in Dar es Salaam, Tanzania ๐ŸŒ Broadcasting in ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ด ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ In this video: ๐Ÿ”ฅ Full match coverage, highlights, press conferences, interviews, fan reactions & more. We cover: - NBC Premier League - Championship League Tanzania - Simba SC, Yanga SC, Azam FC - UEFA Champions League, EPL, La Liga, Serie A, Bundesliga - Gossip, lifestyle, and Swahili sports commentary ๐Ÿ‘‰ Subscribe for daily sports content & updates! ๐Ÿ“ฒ Visit: www.tv3.co.tz ๐Ÿ“ท Follow us: @TV3TANZANIA | Powered by @QuantumInfinity.hq #TV3Sports #SimbaSC #YangaSC #TanzaniaSports #NBCPremierLeague #FootballAfrica #LiveSportsTanzania #SportsEntertainment #MichezoTanzania




« Previous Next »


Popular Tags

#Russell Westbrook  #James Harden  #Paul Pogba  #Stephen Curry  #Kawhi Leonard  #Mesut Ozil  #Michael Jordan  #Counter Attack Goals Football  #Kobe Bryant  #Chicago Bulls  

Popular Users

#RealSkipBayless  #BillGates  #LilTunechi  #b_ryan9  #GNev2  #AntDavis23  #Harry_Styles  #lindseyvonn  #akshaykumar  #KevinHart4real  #TheNotoriousMMA  #ArianFoster  #DwyaneWade  #Buster_ESPN  #kevinlove