Wanafamilia wote tunaokwenda kwa watoto ya tima kesho tukutane stesheni saa 2 asubuhi safari itaanza saa 3 asubuhi kwenda Kitonga kwa Jongo .....
KUTOKA MISRI | โโฆ.hakuna kiumbe yeyote anayeweza kujiita Eliiiii zaidi ya Simba SCโ Kikosi cha Simba SC kikiwa kambini nchini Misri, jioni ya leo kimepiga tizi lililomuhusisha pia kiungo wao Elie Mpanzu ambaye ameripoti kambini hapo leoโฆ Katika tizi hizo hilo, meneja wa kikosi hicho, Patrick Rweyemamu amefafanua machache kuhusu utata uliokuwepo juu ya mchezaji huyo, akisema โโฆni propagandaโฆni Gen-z ambao wameingia kwenye mfumo wa kisasa wa mpiraโ Rweyemamu amesema klabu hiyo haiwezi kufanya makosa ya kumsajili mchezaji wa aina hiyo kwa mkataba wa miezi sita na kusisitiza kuwa โโฆElie Mpanzu yupo, na ataendelea kuwepo hadi Simba itakavyoamua vinginevyo
#mohameddoumbia #mazoeziyayangaleo #usajilimpyayanga #yangasc . ๐ ๐ข ๐๐ข๐จ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ง๐ฆ Mfahamu Mohamed Doumbia kiungo mpya wa Young Africans ๐ฐ . โ Majina kamili โ Mohamed Doumbia. โ Tarehe ya kuzaliwa โ 25 December, 1998. โ Umri โ Miaka 26. โ Mahali pa kuzaliwa โ Abidjan ๐จ๐ฎ. โ Uraia โ Ivory Coast. โ Nafasi โ Kiungo wa kati. โ Mguu anaotumia โ Kulia. Klabu alizowahi kuzichezea : ๐ซ๐ฎ Ekenรคs IF (16|17) ๐จ๐ฟ Dukla Prague (17|18 -- 21|22) ๐จ๐ฟ Slovan Liberec (21|22 -- 24|25) ๐ง๐ซ SC Majestic (24|25) ๐น๐ฟ Young Africans ๐ ๐จ๐๐ข๐ฅ๐ ๐ช๐๐๐ Doumbia ni mchezaji mwenye nguvu ๐ช, akili, uwezo mkubwa kupiga pasi zenye uhakika ๐, uwezo mzuri ku-dribble ๐, kupiga mashuti ya mbali yenye usahihi ๐ฅ na kutengeneza nafasi za mabao ๐ . ๐ง๐๐๐ช๐๐ ๐จ ๐ญ๐๐๐ โฝ 07 ๐ ฐ๏ธ 03 ๐ฎ 086 -- Dukla Prague. โฝ 05 ๐ ฐ๏ธ 05 ๐ฎ 046 -- Slovan Liberec. โฝ 01 ๐ ฐ๏ธ 01 ๐ฎ 027 -- Ekenรคs IF. โฝ 00 ๐ ฐ๏ธ 01 ๐ฎ 013 -- SC Majestic. โฝ 13 ๐ ฐ๏ธ 10 ๐ฎ 172 -- Total
USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU. INSTAGRAM @pmtvtz TIKTOK @officialpmtv TOVUTI: www.pmtv.co.tz
โโฆtuliweka kiwango kizuri cha fedha kumshawishi mchezaji na klkabu yakeโ Nneno la Ally Kamwe kuhusu usajili wa kiungo Moussa Balla Conte ambaye leo ametua rasmi Jangwani kwa mkataba wa miaka mitatuโฆ Kamwe ameeleza jinsi ilivyokuwa ngumu kumpata na jinsi walivyoweza kumshawishi yeye na klabu yake licha ya kuwa na ofa nyingiโฆ.. Kuhusu hatma ya Khalid Aucho, Kamwe amesema majibu yatatoka Julai 20 baada ya kupokea ripoti ya CEO wa klabu hiyoโฆ Mwisho, Ally Kamwe anatoa ujumbe kwa walioumizwa na usajili huo akiomba kusajiliwa na timu inayohitaji mchezaji mwenye jina la Conteโฆ. #YangaSC #Usajili #BallaConte
#hansrafael #ballamussaconte #yangasc #khalidaucho #tetesizausajilimpya2025 mchambuzi wa michezo Kutoka crown fm Hans Rafael Leo 17.7.2025 amethibitisha kuwa Mchezaji balla mussa Conte AMESHASAJILIWA YANGA muda mrefu na nichapwe viboko 5 studio kama balla Conte hatacheza yanga msimu ujao na ndiye mbadala SAHIHI wa Khalid Aucho Leo Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi