MBAO 2-0 LIPULI: Shuhudia magoli mawili ya mchezo wa #VPL kati Mbao FC dhidi ya Lipuli FC yaliyofungwa na Wazir Junior kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Ni mechi ya ligi kuu Tanzania Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa samora mjini Iringa, wenyeji Lipuli FC wakichezea kichapo cha bao 1-0. Kocha Nzeyimana Mailo na Mecky Mexime wametoa neno baada ya mchezo. Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
LIPULI FC 1-2 NAMUNGO FC: MAGOLI YOTE (VPL - 29/02/2020). Timu ya Namungo imeendeleza ubabe kwa kushinda 2-1 dhidi ya Lipuli FC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Samora mjini iringa. Magoli ya Namungo yamefungwa na Bigirimana Blaise pamoja na George Makang'a huku bao la kufutia machozi likifungwa David Kameta 'Duchu' ambaye pia alikosa penati. Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1 #simbasc
MAMBO 10 NILIYOYAGUNDUA KWENYE MCHEZO WA SIMBA 1 NA LIPULI 0 "tshabalala is back"
Nahodha wa Simba John Bocco ameifungia timu yake bao pekee la ushindi na kuipa pointi tatu mbele ya Lipuli FC, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Samora, Iringa, Ligi Kuu Tanzania Bara VPL. Tazama LIVE mechi za Vodacom Premier League na vipindi vingine kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/de... Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Bofya https://pma.bet/2vruKDx kujiunga na timu ya washindi na wewe upate nafasi ya kushinda mamilion