#Simbasc #wachezajiwapyasimbasc #Ahmedally WACHEZAJI WAPYA WALIOSAJILIWA SIMBA MSIMU HUU 2026/2027 Waliosajiliwa 1. Kaletso Makgalwa Winga kutoka Shekukune 2.Serge Badjo kutoka Ivory Coast Mlinzi wa kati Sababu ni Rushine injury aliyopata fainal dhidi ya Azam CRDB imemfanya atachelewa kurejea uwanjani 3. Ibraheem Jabaar kiungo kutoka Stellenbosch alifanya kazi na Steve Berker 4. Nathaniel chilambo kutoka Azam FC ameshatambulishwa ndiye mrithi wa Kapombe Simba 5. Kelvin Nashon kutoka Singida BS ila alikuwa Kwa Mkopo Pamba Jiji 6.Bakari Msimu kutoka Coastal Union 7. Ismail Mgunda Mshambuliaji kutoka Mashujaa 8.Seleman Mwalimu imeshindikana kusajiliwa mazima kutoka wydad kutokana na wydad kutaka mpunga mrefu ila Simba wamekubaliwa kwenye Mkopo wa msimu mzima hivyo Seleman Mwalimu atasalia tena Simba Kwa Mkopo . Wanatazamwa kwenye kagame cup wakikidhi wanasajiliwa mazima 9. Ibrahim Doumbia Mshambuliaji raia Wa Mali, Ibrahim Doumbia amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongeza miaka miwili baadae katika klabu ya Simba Sc ya Tanzania. Doumbia alikuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mali Msimu ulopita akiwa na mabao 17. Simba hawataki kucheza kamali ya kumpa mkataba wa muda mrefu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22, wakihofia akifeli na gharama za kuvunja mkataba. Doumbia msimu uliopita:- ๐ Mfungaji bora wa Msimu ๐ Mchezaji bora wa Msimu ๐ Mchezo bora chipukizi wa Msimu. ๐ Alikuwepo kwenye kikosi Bora cha msimu. DEAL OFF Ramadhan Chobwedo Winga kutoka TRA United amefeli vipimo vya afya Simba Dili lake limekufa rasmi Mpaka sasa Simba Sports Club imeachana na wachezaji wengi kuelekea msimu ujao. Je ni nani hakustahili kupewa Gudubaiii hapa utaniambia kwenye uwanja wa Comment hapo chini. 1. Chamou Karaboue. 2. Naby Camara. 3. Edwin Balua. 4.Joshua Mutale. 5. Awesu Awesu. 6. Omari Omari. 7. Moussa Camara. 8. Mzamiru Yassin 9. Ladack Chasambi 10. Jonathan Sowah 11. Mohamed Bajaber 12. Salehe Karabaka Mkopo Pamba Jiji 13. Valentino Mashaka Mkopo JKT Tanzania
Go behind the scenes as the Reds depart from the AXA Training Centre, heading to Chicago where they will prepare for their first games of pre-season, including footage on the flight, at Lake Michigan and coverage of Andoni Iraola's press conference. ๐ด Watch the Reds this pre-season with All Red Video with a 14 day free trial. - Full details can be found at video.liverpoolfc.com/pre-season - Ts&Cs apply ๐ You can also watch every pre-season game this summer with an Anfield Tier YouTube Channel Membership: https://www.youtube.com/LiverpoolFC/join (this game is not available in the UK or USA). ๐ SUBSCRIBE for free, so you never miss a video or live stream! https://www.youtube.com/subscription_center?add_user=LiverpoolFC ๐๏ธ Shop LFC - Get your replica kits and much more! https://lfc.tv/3YTiEyj โ๏ธSubtitles proving difficult to follow? You can edit the settings in order to make them as readable and personalised as possible. Just select subtitles from the settings menu, then options, where you can modify the font, size, colour, background and much more.
#feisalsalum #yangasc #yangatv #yangascmedia #tetesizausajilisimba #tetesizausajiliyanga #timuyawananchi #wydad_athletic_club
#football #soccer #sports #realmadrid #arsenal #liverpool #barcelona #yanga #yangasc #simba #azamtv #tff
Even in the seventh round, the NHL Draft delivered a hilarious moment. ๐ As the Montreal Canadiens announced a trade with the Los Angeles Kings, one fan let out an all-time boo that had everyone laughing. โถ๏ธ SUBSCRIBE: https://youtube.com/nhl ๐ฅMORE NHL VIDEOS: https://youtube.com/playlist?list=PL1NbHSfosBuGoyOevGOoJ6nHPD7nDRVFn&si=MHZlxPpXKq2JlQx1 #nhl #hockey #highlights #stanleycup
#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo wa NBC Premier League kati ya Yanga SC ikiwa ugenini dhidi ya Mashujaa FC. Mechi imepigwa katika dimba la Lake Tanganyika Kigoma. Magoli yamefungwa na Mudathir Yahya na Bakari Mwamnyeto FT: Mashujaa 0-2 Yanga #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG