Talanta FC ilihifadhi nafasi yao ya tisa kwenye orodha ya ligi kuu ya soka humu nchini baada ya kuishinda Sofapaka mabao 2-1 katika uwanja wa Kasarani Annex. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #FOOTBALL #TalantaFC #KPL
Mabingwa watetezi Tusker FC waliishinda Kariobangi Sharks bao moja kwa sifuri kwenye mechi ya ligi kuu iliyochezwa katika uwanja wa Ruaraka mjini Nairobi. Kwingineko, KCB iliilemea Wazito FC mabao mawili kwa sifuri katika uwanja wa Kasarani. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #TuskerFC #KariobangiSharks #KenyaPremierLeague
Kakamega Homeboyz extended the gap between them and second placed Tusker to 9 points, after a 1-0 win over Vihiga United. Former Champions Gor Mahia, battled to a 1-1 draw with Sofapaka. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KPL #SofapakaFC #GorMahia
Mchezaji wa kimataifa wa Kenya Michael Olunga alifunga mabao mawili na kuisaidia Al Duhail SC kuishinda Qatar SC mabao matano kwa sifuri kwenye mchuano wa ligi kuu ya nchini Qatar uliochezwa katika uwanja wa Grand Hamad. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCsports #MichaelOlunga#QatarStarsLeague
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCsports #KenyaSports #RugbySevens
Former KPL Champions Gor Mahia failed to register a win after a 1-1 draw with Nzoia Sugar. AFC Leopards also registered a 1-0 victory over Nairobi Stars. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #AFCLeopards #GorMahia #Football
Defending champions Tusker FC displayed a master performance after beating Mathare United 4-1 to move to the 11th spot of the table. Gor Mahia suffered a shocking 2-0 defeat to Nairobi City Stars as KCB battling to a 2-2 draw with Nzoia Sugar. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #GorMahia #KPL #Football
Kakamega Homeboyz iliendeleza uongozi wake kwenye msururu wa ligi kuu ya soka humu nchini baada ya kutoka sare ya mabao mawili kwa mawili dhidi ya AFC Leopards katika uwanja wa taifa wa Nyayo. Kwingineko, wenyeji Bandari waliishinda Ulinzi Stars bao moja kwa sifuri. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCsports #KPL #football