Content removal request!


Michael Olunga aifungia Al Duhail SC mabao mawili na kuisaidia kuishinda Qatar SC

Mchezaji wa kimataifa wa Kenya Michael Olunga alifunga mabao mawili na kuisaidia Al Duhail SC kuishinda Qatar SC mabao matano kwa sifuri kwenye mchuano wa ligi kuu ya nchini Qatar uliochezwa katika uwanja wa Grand Hamad. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://bit.ly/2Q3HICf Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCsports #MichaelOlunga#QatarStarsLeague