EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!
EXCLUSIVE: MPENJA, MZINGA, HINJO WASHINDANA KUTANGAZA MPIRA/WAZICHAMBUA MAMELODI/AL AHLY/NOMA SANA!

Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.



Uchambuzi mechi ya Simba Vs Horoya, Yanga Vs US Monastir
Uchambuzi mechi ya Simba Vs Horoya, Yanga Vs US Monastir

Wasikie Wachambuzi mahiri wa kandanda ndani ya Sports AM ya #AzamSports1HD, Ramadhani Mbwaduke, Clarence Kunambi ...



KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata mechi ya Mtibwa Sugar Vs Simba,Yanga Vs Geita Gold
KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata mechi ya Mtibwa Sugar Vs Simba,Yanga Vs Geita Gold

Msikie Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa maamuzi mbalimbali ya Waamuzi kwenye ...



KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata mechi ya Simba SC Vs Azam FC
KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata mechi ya Simba SC Vs Azam FC

Tazama kipindi cha Kipyenga cha Mwisho na Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa ...



KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi akisawazisha utata maamuzi Ihefu Vs Singida Big Stars
KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi akisawazisha utata maamuzi Ihefu Vs Singida Big Stars

Msikie Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa baadhi ya maamuzi kwenye mechi ya NBC ...



KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata wa mechi ya Yanga Vs Ihefu na Simba Vs Mbeya City
KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi asawazisha utata wa mechi ya Yanga Vs Ihefu na Simba Vs Mbeya City

Huyu hapa Mwamuzi Mstaafu wa Kandanda Nchini, Osman Kazi akisawazisha utata wa maamuzi ya Waamuzi, Wachezaji na Mabenchi ya Ufundi kwenye mechi ya Yanga SC Vs Ihefu, Simba SC Vs Mbeya City na Geita Gold Vs Dodoma Jiji. KIPYENGA CHA MWISHO ni kila Alhamis saa 3:30 Usiku kupitia #AzamSports1HD



KIPYENGA  CHA MWISHO | Osman Kazi atoa somo utata mechi ya Ihefu vs Yanga na Azam vs Coastal Union
KIPYENGA CHA MWISHO | Osman Kazi atoa somo utata mechi ya Ihefu vs Yanga na Azam vs Coastal Union

Kipyenga cha Mwisho na Mwamuzi mstaafu wa Kandanda, Osman Kazi akisawazisha utata wa yale yote yaliyojiri kwenye ...



KIPYENGA CHA MWISHO   20/10/2022 | Osman Kazi azichambua Al Hilal na Yanga, Azam Vs Al Akhdar, Simba
KIPYENGA CHA MWISHO 20/10/2022 | Osman Kazi azichambua Al Hilal na Yanga, Azam Vs Al Akhdar, Simba

Mwamuzi mstaafu wa kandanda Osman Kazi ameondoa utata wa kwenye maamuzi katika mechi za kimataifa kati ya Al Hilal dhidi ...




Next »


Popular Tags

#Best Goalkeeper Saves  #Counter Attack Goals Football  #Best Goals Ever  #Michael Jordan  #Paul Pogba  #Best Goals  #Chicago Bulls  #Miami Heat  #Michael Jordan  #Zlatan Ibrahimovi  

Popular Users

#PMOIndia  #justinbieber  #JohnCena  #wizkhalifa  #BeingSalmanKhan  #TheRock  #billsimmons  #billbarnwell  #MieshaTate  #BadgerMBB  #fauxpelini  #BaileyLAKings  #strombone1  #iamsrk  #ArianaGrande