Content removal request!


🔴LIVE: FEITOTO ATAJWA KOCHA YANGA AKIFUNGUKA WALIVYOJIPANGA KUWAFUNGA AZAM KESHO KWA MKAPA

Kocha Msaidizi wa Yanga SC ameweka wazi mipango ya timu kuelekea mchezo wao wa kesho Disemba 25 dhidi ya Azam FC katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es salaam.